Je kwanini Simba imemsajili kocha aliyeshinda loser cup

Kumbe Super cup imechukulliwa na timu kutoka loser cup ilikuaje? leta uchambuzi
Ni baada ya kumfunga Bingwa wa vilabu vyote Barani Afrika eti!! Yaani Bingwa wa vilabu vyote Barani Afrika, alifungwa na Bingwa kutoka Kombe la Losers!!!
 
Kwani manara lile pilau lake unalo mkuu?nitumie tugawane dhambi...

Yanga kwa mambo ya hovyo[emoji23][emoji23]
Mara mama J
Mara washangilie uchi
Ni edited...so lakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…