Mashibe matius
Member
- Apr 10, 2021
- 47
- 42
Kwenye maswala ya chanjo ukiona mtu anajibu kwa kupanic ujue kachanjwa na Hana uhakika na maisha yake๐๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmechanja dozi moja ya synopham nasubiri kumalizia baada ya 21 days...sijapata reaction yeyote.
Siyo mzima weweDuh sikutegemea na wewe pia kuna tutaongea lugha moja, hii dunia bana.
Siyo mzima wewe
BRT inaendeleaje lakini..vp zile train za diesel milango inafunguka sasa hv?Hehehe!! Kama naona Gwajiboy akichanja hivi karibuni, ni vyema mumeanza kuitikia wito.
BRT inaendeleaje lakini..vp zile train za diesel milango inafunguka sasa hv?