Je, kwanini unadhani watu bado wanagoma kuchanja chanjo hii?

Nmechanja dozi moja ya synopham nasubiri kumalizia baada ya 21 days...sijapata reaction yeyote.

Duh sikutegemea na wewe pia kuna tutaongea lugha moja, hii dunia bana.
 
Hehehe!! Kama naona Gwajiboy akichanja hivi karibuni, ni vyema mumeanza kuitikia wito.
BRT inaendeleaje lakini..vp zile train za diesel milango inafunguka sasa hv?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…