Je, kwanini Yanga hawaumii na mechi waliyopoteza?

Je, kwanini Yanga hawaumii na mechi waliyopoteza?

Leo nmepata muda wa kucheki marudio ya michezo walicheza hawa ma giant wa soka hapa east Africa....Simba na Yanga

But ingawa Yanga alipigwa 3_0 na Simba ku draw .....lkn mtandaoni imekuwa ni kama Simba ndiye aliyechezea kichapo .....Yanga wanaenjoy tu .....na uwanjani wamesema wataenda na huku wavaa kipwani pwani

NB Je inawezekana vipi kitu kama hiki.....waliofungwa Wana morali zaid ya walio drawView attachment 2828595

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni kwa vile walimkanda goli 5 Simba na juzi wakicheza li mpira la hovyo haijapata kutokea!
 
Hayo mawazo ya kufikirika yapo kwenye nafsi za utopolo tu na ambao ni ujinga uliopea viwango.Mtu mmoja avunjwe miguu yote miwili na mkono mmoja umlinganishe na mwingine aliyeumwa na nyuki sikioni?Mpo sawa kwenye mbongo zenu ninyi?Luc Aimel hakukosea hata kidogo.
Mbna unafoka mkuu[emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Leo nmepata muda wa kucheki marudio ya michezo walicheza hawa ma giant wa soka hapa east Africa....Simba na Yanga

But ingawa Yanga alipigwa 3_0 na Simba ku draw .....lkn mtandaoni imekuwa ni kama Simba ndiye aliyechezea kichapo .....Yanga wanaenjoy tu .....na uwanjani wamesema wataenda na huku wavaa kipwani pwani

NB Je inawezekana vipi kitu kama hiki.....waliofungwa Wana morali zaid ya walio drawView attachment 2828595

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simple, hawana akili.
 
Leo nmepata muda wa kucheki marudio ya michezo walicheza hawa ma giant wa soka hapa east Africa....Simba na Yanga

But ingawa Yanga alipigwa 3_0 na Simba ku draw .....lkn mtandaoni imekuwa ni kama Simba ndiye aliyechezea kichapo .....Yanga wanaenjoy tu .....na uwanjani wamesema wataenda na huku wavaa kipwani pwani

NB Je inawezekana vipi kitu kama hiki.....waliofungwa Wana morali zaid ya walio drawView attachment 2828595

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Utofauti wa kimalengo, simba ni kubwa sana kuliko yanga ndo maana kudraw wao wanaona ni matokeo mabaya ila kwa timu ndogo kama utopolo pamoja na kubondwa ila wanaona poa tu
 
Unatuchafulia hali ya hewa...
Kinye FC...
Ikiuma chomoa [emoji38]
JamiiForums-31645776.jpg
JamiiForums258363410.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom