Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Usiwe mwepesi wa kuamini kila ukionacho.Kama walikuwa wanaigiza tu filamu kwa fictional character?Nikiipata ile clip ya mashuhuda nitakuwekea.
Ni kwa vile walimkanda goli 5 Simba na juzi wakicheza li mpira la hovyo haijapata kutokea!Leo nmepata muda wa kucheki marudio ya michezo walicheza hawa ma giant wa soka hapa east Africa....Simba na Yanga
But ingawa Yanga alipigwa 3_0 na Simba ku draw .....lkn mtandaoni imekuwa ni kama Simba ndiye aliyechezea kichapo .....Yanga wanaenjoy tu .....na uwanjani wamesema wataenda na huku wavaa kipwani pwani
NB Je inawezekana vipi kitu kama hiki.....waliofungwa Wana morali zaid ya walio drawView attachment 2828595
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mbna unafoka mkuu[emoji23][emoji23]Hayo mawazo ya kufikirika yapo kwenye nafsi za utopolo tu na ambao ni ujinga uliopea viwango.Mtu mmoja avunjwe miguu yote miwili na mkono mmoja umlinganishe na mwingine aliyeumwa na nyuki sikioni?Mpo sawa kwenye mbongo zenu ninyi?Luc Aimel hakukosea hata kidogo.
Ila omba mdada asiwe opponent wakoNafurahi sana kuona mdada anapenda soka huwa namuona kama mshikaji wangu wa kiume
PoaUsiwe mwepesi wa kuamini kila ukionacho.Kama walikuwa wanaigiza tu filamu kwa fictional character?
Hahaha ndo raha mkuuIla omba mdada asiwe opponent wako
....Kila muda ni uhasama tu ....mfano Mimi na Kalpana ....[emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hatuna uhasama bana..sisi ni people...nakukubali sana Labani og japo unanikera na mada zako za Simba daily... π π π πIla omba mdada asiwe opponent wako
....Kila muda ni uhasama tu ....mfano Mimi na Kalpana ....[emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simple, hawana akili.Leo nmepata muda wa kucheki marudio ya michezo walicheza hawa ma giant wa soka hapa east Africa....Simba na Yanga
But ingawa Yanga alipigwa 3_0 na Simba ku draw .....lkn mtandaoni imekuwa ni kama Simba ndiye aliyechezea kichapo .....Yanga wanaenjoy tu .....na uwanjani wamesema wataenda na huku wavaa kipwani pwani
NB Je inawezekana vipi kitu kama hiki.....waliofungwa Wana morali zaid ya walio drawView attachment 2828595
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hizi ni lugha za kikubwa wangu.kwahio yanga hakupata matokeo yake hadi leo mkuu?siamefungwa tatu bila?hayo sio matokeo?πππ
Utofauti wa kimalengo, simba ni kubwa sana kuliko yanga ndo maana kudraw wao wanaona ni matokeo mabaya ila kwa timu ndogo kama utopolo pamoja na kubondwa ila wanaona poa tuLeo nmepata muda wa kucheki marudio ya michezo walicheza hawa ma giant wa soka hapa east Africa....Simba na Yanga
But ingawa Yanga alipigwa 3_0 na Simba ku draw .....lkn mtandaoni imekuwa ni kama Simba ndiye aliyechezea kichapo .....Yanga wanaenjoy tu .....na uwanjani wamesema wataenda na huku wavaa kipwani pwani
NB Je inawezekana vipi kitu kama hiki.....waliofungwa Wana morali zaid ya walio drawView attachment 2828595
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ikiuma chomoa [emoji38]Unatuchafulia hali ya hewa...
Kinye FC...
Kama ww mwiko unakuumiza chomoa pia...Ikiuma chomoa [emoji38]View attachment 2829266View attachment 2829267
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23] nmeachaHatuna uhasama bana..sisi ni people...nakukubali sana Labani og japo unanikera na mada zako za Simba daily... [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Umetisha sana π€£ππ€£Hivi kwanini north na south huwaga zinaombana msamaha, utasikia North Pole mara South Pole
Imepenya hiyo ndiyomaana huwezi kuichomoa wewe Kolokhamsa [emoji16]Kama ww mwiko unakuumiza chomoa pia...
Limbukeni mkubwa...
CRB 3.....Uto 0
Umebaki peke yako limbukeni kwa sasa...Imepenya hiyo
Huwezi achaa...kwa sasa mnasikilizia upepo wa Alhly..mkiifunga hatutalala hapa... π π π π
We dawa yako ni Toto langu la kiume liwowe Toto lako la kike tu ndiyo utatulia maana una unafki sana kuwa unapenda sana Makolokolo SC kuliko hata Wazazi na Familia yako [emoji1787]Umebaki peke yako limbukeni kwa sasa...
Utopwox...