Kule ni pazito inabidi ujipange kwanza ndio uingieHaya tunawaacha nyie wa chatgpt mshindane....
ππππππ
Mkotaka majibu mnajua pa kututafuta tupo kule miaka na miaka mpak sasa hakuna nyoko wowote wa kubisha bisha...
Nb: ukija kule intelligence hakikisha unakuja na dawa ya kuchua πππ
Hapo kwenye satellite sio kweli.. labla inagemea na mada husika kuhisu hilo lakini wanachoamini flat earth ni kuwa Dunia si duara ikiwa wanamaanisha Dunia ni ardhi ndio duniani na ardhi ni tambarare ambayo iko juu ya maji hilo duara unaloliona juu matabaka ambayo yameizunguka duniani na ndio tunaita mbingu, heaven..Watu wa flat earth wanapinga vitu vingi, kwamba hakuna satelite hakuna space, sasa sijui kwao hata wana amini dunia ilianzaje
ni kutokan na namna viumbe wanavyo change..How, ina change form kwa jinsi tunavyo percive
satelite inafanya kazi kwa kuizunguka dunia, pia inahitaji gravitational pull ya dunia ambayo flat earth hawa amini kwenye gravityHapo kwenye satellite sio kweli.. labla inagemea na mada husika kuhisu hilo lakini wanachoamini flat earth ni kuwa Dunia si duara ikiwa wanamaanisha Dunia ni ardhi ndio duniani na ardhi ni tambarare ambayo iko juu ya maji hilo duara unaloliona juu matabaka ambayo yameizunguka duniani na ndio tunaita mbingu, heaven
Sawa haina tatizo tuambieni Mkunjo wa Duara kwenyr Dunia Unaanzia wapiAlso circumnavigation of the earth prove that the earth is a sphere, that why when some one move by maintain a same direction at a long distance at the end he or she turn on original position, this was proved on physical geography well.
Another reason nikuchomoka na kuzama kwa jua, jua Lina chomokea west linazama east , this is because of the earth rotation on its axis
Hivyo kuna wakati inaweza kuwa straight line, wakati mwingine triangelni kutokan na namna viumbe wanavyo change..
Hivyo kuna wakati inaweza kuwa straight line, wakati mwingine triangel
Kitu ambacho hakina umbo maalum au hakina umbo kabisa, ndiyo ninavyoelewahhahahah Ivi shapeless kwa uelewa wako unazani inakuaje?
Huko watabaki wenyewe tu, me huwa naangalia tu sigusi hata commentKule kwenyr uzi round Earther Mmepigwa Swali na Hamjarud mpaka leo kulijibu
Hapana satellite haiwezi kuizunguka dunia hata mimi naamini hivyo hii ni kwa sababu na nadharia ya umbo la kitu husika DUARA AND TAMBARARE havifanani ndio maana hatuamini kama inazunguka na ndio maana ni rahisi satellite ikaripuka angani na ikawa rahisi mabaki yake kutabirika mahali yanapoenda kuangukia uko hapo.satelite inafanya kazi kwa kuizunguka dunia, pia inahitaji gravitational pull ya dunia ambayo flat earth hawa amini kwenye gravity
Basi jibu swali Kuwa Ni mahali gani au Kwa Kilomter ngapi Dunia inaanza Kucurve yaani Kujikunja Uduara?Huko watabaki wenyewe tu, me huwa naangalia tu sigusi hata comment
Sawa haina tatizo tuambieni Mkunjo wa Duara kwenyr Dunia Unaanzia wap
Huwezi ona curvature kwenye ground level sababu tunauwezo wa kuona kama mile 3 tu ila ukiwa juu ndio utaonaBasi jibu swali Kuwa Ni mahali gani au Kwa Kilomter ngapi Dunia inaanza Kucurve yaani Kujikunja Uduara?
naam. bilashak umenielewa . Maan tukisha ingia kweny Triangle ulikosema, tunaingia kwenye maumbo. Ila shapeless inahusian na kuwa ni umbo ambalo halielezek lilipo lilipo kimtindo.Kitu ambacho hakina umbo maalum au hakina umbo kabisa, ndiyo ninavyoelewa
yanatabirika yanapotua kwa sababu gravity ya dunia inaichukua na satelite hivyo wana predict jinsi ilipo na ikidondoka itatua wapi ,Hapana satellite haiwezi kuizunguka dunia hata mimi naamini hivyo hii ni kwa sababu na nadharia ya umbo la kitu husika DUARA AND TAMBARARE havifanani ndio maana hatuamini kama inazunguka na ndio maana ni rahisi satellite ikaripuka angani na ikawa rahisi mabaki yake kutabirika mahali yanapoenda kuangukia uko hapo.
So simple Kamanda.Basi jibu swali Kuwa Ni mahali gani au Kwa Kilomter ngapi Dunia inaanza Kucurve yaani Kujikunja Uduara?
Sawa haitaki HIGH IQ na mada ni kitoto aya leta jibu sasa usilete manenoMpaka karne hii unaanzisha mada za kitoto hivi, high iq gani but naahitajika kwenye hilo swali lako?
ACHA utani kaka hahahahahayanatabirika yanapotua kwa sababu gravity ya dunia inaichukua na satelite hivyo wana predict jinsi ilipo na ikidondoka itatua wapi ,