Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Kwani yai lina gravitational force??Kama Dunia ingekuwa duara watu wangewezaje kuishi na kutembea na kujenga juu yake!?. Nyumba imara bila kudondoka!?. Chukueni yai weka mchanga uone kama utakaa. Huhitaji hata sayansi kujua hili. Watu wa chini ya Dunia wangetembea miguu juu kichwa chini[emoji23]
Myahudi hujaelewa Nini ?Hujanielewa Sijasema Sehemu nimekuiliza Inaanza Kukunja kwa umbali gani?
Na sio kifaa nachotakiwa Kutumia..
Tazama swali na Ujibu kisomi mkuu
Huu mwandiko tu unaonyesha uwezo wako wa kufikiri,Hahahaha ni vipi nikikwambia nimepanda ndege sana zaidi yako.. hahahaha wewe ndio low IQ ona sasa unavyoongea vitu ambavyo havina maana sasa ndege na macho vinakupa uhalisia gani wa kitu kama hichi hahaha kabla hujaongelea kitu tumia akili firiki kwanza mara nyingi watu wasiokuwa na akili hupenda sana kujbu kujipandisha juu na kuleta dhihaka, sikia una maanisha flat earth wanafikiri LOW IQ si ndio unajua kama kuna wana anga maarufu wenye uwezo wao na akili zao wanasema Dunia ni flat unajua kuna watu kibao wenye HIGH IQ wanasema dunia flat.. una maana wao hawana akili ila wewe uliepandana ndege ukaona kwa macho ndio una akili na unafikiria kwamba hao wana anga hawajawai kupanda ndege..!? Au hawafikirii.. kwanza kutumia English sababu hata akili zenyewe huna.. jibu kwa hoja za msingi bila kushusha watu hadhi sababu hujui unaongea na watu wenye uwezo kiasi gani acha kuutangaza ujinga wako hadharani.. Shame on you
Facts za kuthibitisha kuwa dunia ni duara zipo nyingi sana(natumai unazijua)Sijamaanisha hivyo ila Sijafungwa Kuuliza Kuhusu Utetezi mnaotoa..
Reasoning ndo huleta Facts na Sio kukubali Hoja kama Doctrine ya Imani fulani
Okay.. hapa tupo kwa ajiri ya kupeana maalifa nasi kuleta dhihaka zako sawa genius.. HIGH IQ umeshindaHuu mwandiko tu unaonyesha uwezo wako wa kufikiri,
Pole Sana, nadhani uwezo wako wa kufikiri umeishia hapa,
Hata ukielekezwa huwezi elewa, uwezo mdogo
Hebu Tuzungumze kama Wasomi..Myahudi hujaelewa Nini ?
Manaake ukiondoa mwisho wa upeo wa macho yako mkunjo haupo ..
Lets Discuss One on one Now And Make the Truth Out..Facts za kuthibitisha kuwa dunia ni duara zipo nyingi sana(natumai unazijua)
Kwa teknolojia ya sasa mtu anayedai dunia ni flat aidha hana elimu hata ya msingi au ni mgonjwa wa akili.
Kesho utataka tujadili hesabu za 1+1 ambazo kila mtu timamu anazijua.Lets Discuss One on one Now And Make the Truth Out..
Yeah nimekubaliHebu Tuzungumze kama Wasomi..
Unajua Swala la Sphere Earth limekaa Kisaokolojia sana na ndo maana Hata weww Umeniambia upeo wa Macho 🤣🤣
So umekubali Kuwa Earth as Sphere is Psychological and Cultural Factors more than The reality...the spherical Earth model is part of a vast conspiracy to hide the true nature of the Earth from the public.
Yani tunabishana tunashushiana hadhi kwa vitu ambavyo vyote ni theory tu, dunia inaweza kuwa duara au flat au sio vyoteOkay.. hapa tupo kwa ajiri ya kupeana maalifa nasi kuleta dhihaka zako sawa genius.. HIGH IQ umeshinda
Sumaku inagandisha vitu, sasa mbona sisi hatugandi tunatembea kwa uhuru!?.chukulia mfano wa sumaku yenye umbo la duara hakuna sehemu ambapo chembechembe za chuma zitadondoka
Inatokea nini kama ukifika kwenye edge utadondoka auMap halisi iko hivi, fatilia kitu inaitwa tartalia kama sjakosea View attachment 3157737View attachment 3157735View attachment 3157733
Hahaha kweli jaaSumaku inagandisha vitu, sasa mbona sisi hatugandi tunatembea kwa uhuru!?.
Of course... Maana ni hizi zote ni dhana tu..Yani tunabishana tunashushiana hadhi kwa vitu ambavyo vyote ni theory tu, dunia inaweza kuwa duara au flat au sio vyote
Sayansi ilotuambia binadamu katokana na nyani, mbona nyani wa sasa hawawi binadamu!?.Hahaha kweli jaa
TricknologySayansi ilotuambia binadamu katokana na nyani, mbona nyani wa sasa hawawi binadamu!?.
(Gravitation | Magnetism)Sumaku inagandisha vitu, sasa mbona sisi hatugandi tunatembea kwa uhuru!?.
hata kama hili linaukweli na hata kama lingekuwa linaendelea hivi sasa bado ingekuwa ni ngumu kwako kudhibitisha kwa sababu ni mchakato unaotumia muda mrefu inachukua maelfu ya miaka na miakaSayansi ilotuambia binadamu katokana na nyani, mbona nyani wa sasa hawawi binadamu!?.