Hahahaha ni vipi nikikwambia nimepanda ndege sana zaidi yako.. hahahaha wewe ndio low IQ ona sasa unavyoongea vitu ambavyo havina maana sasa ndege na macho vinakupa uhalisia gani wa kitu kama hichi hahaha kabla hujaongelea kitu tumia akili firiki kwanza mara nyingi watu wasiokuwa na akili hupenda sana kujbu kujipandisha juu na kuleta dhihaka, sikia una maanisha flat earth wanafikiri LOW IQ si ndio unajua kama kuna wana anga maarufu wenye uwezo wao na akili zao wanasema Dunia ni flat unajua kuna watu kibao wenye HIGH IQ wanasema dunia flat.. una maana wao hawana akili ila wewe uliepandana ndege ukaona kwa macho ndio una akili na unafikiria kwamba hao wana anga hawajawai kupanda ndege..!? Au hawafikirii.. kwanza kutumia English sababu hata akili zenyewe huna.. jibu kwa hoja za msingi bila kushusha watu hadhi sababu hujui unaongea na watu wenye uwezo kiasi gani acha kuutangaza ujinga wako hadharani.. Shame on you