Je, kwenye Abiola Cup Simba walepewa Medali?

Ilikuwa inaitwa CAF Cup
 
Simba ndio mfungua njia kwa timu zingine Tanzania. Kuna kipindi Simba alitoa Zamalek akaingia moja kwa moja kwenye makundi.
 
Simba ndio mfungua njia kwa timu zingine Tanzania. Kuna kipindi Simba alitoa Zamalek akaingia moja kwa moja kwenye makundi.
Yanga ndo timu ya kwanza kufika makundi tz
 
Walipewa Cheti Cha kufika nusu fainali.
 
Kumbe Labani og una akili ndogo kiasi hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…