Je kwenye sherehe kubwa za kitaifa hutuwezi onyesha ubunifu wowote tuloufanya kama taifa ,zama hizi za tenkolojia?

Je kwenye sherehe kubwa za kitaifa hutuwezi onyesha ubunifu wowote tuloufanya kama taifa ,zama hizi za tenkolojia?

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
2,944
Reaction score
2,032
Ninaandika haya sio kwa kuponda stlye zetu za kila mwaka za watu kujipanga na likatokea neno labda miaka 60 ya uhuru nadhani vitu hivyo zama hizi za tekenolojia tungeviweka pembeni na tutoe nafasi kwa watanzania wavumbuzi kwenye sherehe hizi kwani itatusaidia kuchochea ukuaji wa tekenojia hapa kwetu na kututangaza Duniani.

Mimi nashauri miaka ijayo siku kama hii walau pale katikati ya uwanja tutangaze utalii wetu kwa kuwaleta twiga,simba,chui na wanyama wengine mara moja moja kwenye matukio kama haya,nadhani kwanza itavutia watanzania wengi kuja kushuhudia maadhimisho hayo lakini kipaumbele cha kwanza kuwe kuonyesha vitu vilivyogunduliwa au kutengenezwa hapa nchini katika zama hizi za sayansi.Nawatakia watanzania wote sikukuu njema na tuendelee kuchukua taadhari kwa mvua zinazoendelea
 
Ulichoongea sio kibaya, ni katika kuboresha tu imekaa vyema.
Kwa upande wangu naona ingekaa poa kama tungeongezea na kuonesha vitu mbali vya kiutamaduni ikiwemo mavazi ya makabila mbali mbali, yaani iwe kama Fancy vile 👍🏾👍🏾👍🏾
 
Unachezea ugunduzi wetu wa kuiba kura wewe!

Uliwahi ona taifa gani lingine wagombea wote wa upinzani wanaenguliwa kwa kutojua kujaza forms? Kwann hutaki kutupatia maua yetu.
 
Unachezea ugunduzi wetu wa kuiba kura wewe!

Uliwahi ona taifa gani lingine wagombea wote wa upinzani wanaenguliwa kwa kutojua kujaza forms? Kwann hutaki kutupatia maua yetu.
Kwani wewe upo huru kweli?
 
Mara nyingi sherehe kama hizi huwa hazibadiliki ili kulinda utamaduni na kumbukumbu hayo mengine yapelekwe kwenye tan trade ila sherehe za uhuru n muungano zibaki vile vile japo naona Simba imeongezwa kama mburudishaji sio mbaya
 
Ninaandika haya sio kwa kuponda stlye zetu za kila mwaka za watu kujipanga na likatokea neno labda miaka 60 ya uhuru nadhani vitu hivyo zama hizi za tekenolojia tungeviweka pembeni na tutoe nafasi kwa watanzania wavumbuzi kwenye sherehe hizi kwani itatusaidia kuchochea ukuaji wa tekenojia hapa kwetu na kututangaza Duniani.
Mimi nashauri miaka ijayo siku kama hii walau pale katikati ya uwanja tutangaze utalii wetu kwa kuwaleta twiga,simba,chui na wanyama wengine mara moja moja kwenye matukio kama haya,nadhani kwanza itavutia watanzania wengi kuja kushuhudia maadhimisho hayo lakini kipaumbele cha kwanza kuwe kuonyesha vitu vilivyogunduliwa au kutengenezwa hapa nchini katika zama hizi za sayansi.Nawatakia watanzania wote sikukuu njema na tuendelee kuchukua taadhari kwa mvua zinazoendelea
Tafuta hela
 
Back
Top Bottom