Uchaguzi 2020 Je, lengo la watawala kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020 litafanikiwa?

Kwa nini mnakuwa na wanachama wanaohongeka? Vetting yenu ina mapungufu...na vetting hii inafanywa na viongozi hivyo udhaifu wa viongozi ni udhaifu wa chama.
barafuyamoto
Hivi wewe unakubali kuwa kwenye sheria, mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni watenda uhalifu?

Sasa katika mazingira hayo tuwaite pia viongozi wa CCM kuwa ni wahalifu, ambao hawatakiwi kuaminiwa na wananchi kwa ujumla wao
 
Kwenye Uchaguzi fake uliojaa wizi, vitisho na ulaghai LITAFANIKIWA. Kwenye Uchaguzi huru na wa haki msaliti Mbatia hataambua kitu.
Watu wamekwisha sahau ACT ilivyo anza. Ulipokaribia uchaguzi, wengi wakaimba kuwa, CHADEMA umefika mwisho wake. Wakaweka wagombea kila kona. Diaro na Star TV yake, akawapa air time za kutosha. Matokeo yake, wakaambulia Mbunge mmoja!!!
 
Kuna idadi ya kura na wabunge inayokifanya chama kuunda kambi ya upinzani bungeni.

Sidhani kama Nccr mageuzi wataweza kuqualify!
johnthebaptist
Pengine kwa matakwa ya watawala inawezekana.........

Tukitilia maanani uchaguzi wa serikali za mitaa ulivyoendeshwa, basi hata hili la watawala kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani litawezekana!
 
Kumbe logic unayo, sasa sisiemu ya JPM kuna watu milioni 20 na ushee, Fanya ratio wenye roho za kishujaa wangapi..
 
Waulize bavicha mbona ghafla wanamuogopa jamaa na kumuita msaliti ghafla? Muulize BAK kwa nini anuita mbatia msaliti ghafla!
 
Chadema itaendelea kuwepo mpaka mwisho mkuu,hayo mawazo yenu futeni kabisa
kichomiz
Nakuunga mkono hoja yako

Hizo ngonjera za kutaka Chadema ife, tushaanza kuzisikia kitambo na hadi hivi sasa ndiyo inawashangaza hadi watawala wenyewe, kuiona Chadema ndiyo inazidi kuimarika........

Wanasahau kuwa Chadema ni mpango wa Mungu........

Na Mungu siyo Athumani. OVA
 
Kumbe logic unayo, sasa sisiemu ya JPM kuna watu milioni 20 na ushee, Fanya ratio wenye roho za kishujaa wangapi..

Kwanza ccm haina wanachama hai 20m, hata milioni 5 hawafiki, hili sibahatishi. Halafu huwezi kuhama ndani ya ccm kama ww Nni mchafu na unategemea vyeo vya mbeleko. Zaidi ya nusu ya viongozi wa ccm wanashuguli zenye makandokando, hivyo ni salama zaidi kwao wakiwa ccm kuliko nje ya ccm. Mfano halisi ni Lowassa na Sumaye, walipotoka nje ya ccm tumeona yaliyowakuta. Huyo Sumaye si ndio aliporwa shamba lake la kifisadi hapo mwabepande akawa anamlilia Ally Happy kama mtoto? Huyo Lowasaa kaporwa mali ngapi, huku akiwa hana uwezo hata wa kumtoa mkwe wake aliye jela hadi hivi leo? Waliojifanya wana roho za kishujaa sio ndio hao akina Membe, Kinana, Makamba, Mangula, Nape Nk, lete mrejesho wao hapa jukwaani.
 
Kwenye Uchaguzi fake uliojaa wizi, vitisho na ulaghai LITAFANIKIWA. Kwenye Uchaguzi huru na wa haki msaliti Mbatia hataambua kitu.
Kipindi Chadema ikiwa chama kikuu cha upinzani mazingira ya uchaguzi yalikuwaje?
 
Tamko la kiongozi wa NCCR Mageuzi, James Mbatia la hivi karibuni linalithibitisha hili, pale alipotamka kuwa chama chake cha NCCR Mageuzi ndicho kinachotegemewa kuwa chama kikuu cha upinzani nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020
Labda anajua nyie ndo mnaenda kushika dola😂😂....na CCM kuwa chama cha pili cha upinzani!
 
Nccr ilishafutika imebakia vunjo pekee hata Moshi haijulikani.Mwenye mawazo hayo yafaa awahi mapema milembe,kwa miaka 5 mbinu zote za kuuwa upinzani zimebuma ameshindwa DPP, mahakama,msajili,polisi, wasiojulikana,chaguzi feki za marudio, manunuzi vyote vimebuma sembuse hii karantini ya ccm?.Kila siku tunarudia njia pekee ya kuuwa upinzani ni kupambana na umasikini wetu ukiweza uuwa umasikini umeweza uuwa upinzani na Wala utohitaji msaada wa police.Njia zingine zote wataishia kuukimbiza upepo tu.Hata ya nccr kama karantini itabuma tu.Sijui Nani huwa anawapa shauri za hovyo hizi zenye gharama labda tu anazitumia kupigia pesa.Wao awajiulizi 5yrs wanapambana kuuwa upinzani kuliko kupambana kuuwa umasikini na wameshindwa.Matatizo ya watz sio uwepo wa mbowe Bali ni uwepo wa umasikini.
 
Chadema watashinda majimbo mengi tu.. chamsingi ni kuwa na mkakati maalumu kwenye majimbo yao ya kimkakati na kuhakikisha kuwa mpango wowote wa uchakachuzi au kuvuruga uchaguzi haufanikiwi ktk majimbo hayo. Pia kura za maoni za watia nia zitokane na matakwa ya wananchi!
 
Labda anajua nyie ndo mnaenda kushika dola😂😂....na CCM kuwa chama cha pili cha upinzani!
Tindikali Kali
Kwa maana hiyo chama cha CCM kitakuwa nyuma ya NCCR Mageuzi kwa wingi wa kura zitakazopigwa, wakiongozwa na Chadema, kitakachokabidhiwa madaraka ya kuongoza Taifa hili

Ngoja tuone utabiri wako ukitimia na kuwa kweli
 
Bora bunge livunjwe ili wanakwenda waende wabakie wanaume ,suala la mtaji sio la kuuliza underground wako wengi Sana na wazuri kuliko hao Frontline.CDM ni sawa Koffi olomide mopao yeye ndie musiki hao kundi lake wote wakiondoka kesho usuka vipaji vipya sababu underground ni wengi kuliko nafasi tu awajapewa.
Upinzani ni dini huwezi ukaiuwa Imani.Ccm imewekeza kutegemea polisi badala ya kuwekeza kwenye hoja.
 
Bana likasi
Umetoa hoja za msingi sana

Lakini hao jamaa wa Lumumba wataendelea kupiga propaganda, kuwa upinzani, hususani chama cha Chadema kipo mahututi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…