barafuyamotoKwa nini mnakuwa na wanachama wanaohongeka? Vetting yenu ina mapungufu...na vetting hii inafanywa na viongozi hivyo udhaifu wa viongozi ni udhaifu wa chama.
Watu wamekwisha sahau ACT ilivyo anza. Ulipokaribia uchaguzi, wengi wakaimba kuwa, CHADEMA umefika mwisho wake. Wakaweka wagombea kila kona. Diaro na Star TV yake, akawapa air time za kutosha. Matokeo yake, wakaambulia Mbunge mmoja!!!Kwenye Uchaguzi fake uliojaa wizi, vitisho na ulaghai LITAFANIKIWA. Kwenye Uchaguzi huru na wa haki msaliti Mbatia hataambua kitu.
johnthebaptistKuna idadi ya kura na wabunge inayokifanya chama kuunda kambi ya upinzani bungeni.
Sidhani kama Nccr mageuzi wataweza kuqualify!
Kumbe logic unayo, sasa sisiemu ya JPM kuna watu milioni 20 na ushee, Fanya ratio wenye roho za kishujaa wangapi..Unapokuwa na watu zaidi ya 1,000 usitegemee wote kuwa na roho za kishujaa. Sio kila mtu anaweza kusimama imara mbele ya kundi la watu wasiojulikana. Wengine uongozi kwao ni ajira, anapoona akiingia kwenye uchaguzi hata akishinda hatangazwi, ni kwanini asihamie mahali alipoahidiwa kuendelea kuwa kwenye uongozi ili alishe familia yake? Mbona hiyo ni saikolojia ya kawaida sana?
Waulize bavicha mbona ghafla wanamuogopa jamaa na kumuita msaliti ghafla? Muulize BAK kwa nini anuita mbatia msaliti ghafla!Hivi huko NCCR Mageuzi kumetokea nini sasa?Wamegeuza Sera,malengo,katiba,au?Mbona ghafla bin vuuu wimbo wa mapambio ya wanaCCM umekuwa ni NCCR Mageuzi?Ajabu na KUB wamemteua ni Mbatia,je CCM ndicho humchagua KUB?
Maswali ni mengi ila hakuna wa kutujibu.
Chadema itaendelea kuwepo mpaka mwisho mkuu,hayo mawazo yenu futeni kabisaSoon mtaanza kuwashabikia maana chadema itakuwa dead and buried...
kichomizChadema itaendelea kuwepo mpaka mwisho mkuu,hayo mawazo yenu futeni kabisa
Kumbe logic unayo, sasa sisiemu ya JPM kuna watu milioni 20 na ushee, Fanya ratio wenye roho za kishujaa wangapi..
Kipindi Chadema ikiwa chama kikuu cha upinzani mazingira ya uchaguzi yalikuwaje?Kwenye Uchaguzi fake uliojaa wizi, vitisho na ulaghai LITAFANIKIWA. Kwenye Uchaguzi huru na wa haki msaliti Mbatia hataambua kitu.
Labda anajua nyie ndo mnaenda kushika dola😂😂....na CCM kuwa chama cha pili cha upinzani!Tamko la kiongozi wa NCCR Mageuzi, James Mbatia la hivi karibuni linalithibitisha hili, pale alipotamka kuwa chama chake cha NCCR Mageuzi ndicho kinachotegemewa kuwa chama kikuu cha upinzani nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020
Nccr ilishafutika imebakia vunjo pekee hata Moshi haijulikani.Mwenye mawazo hayo yafaa awahi mapema milembe,kwa miaka 5 mbinu zote za kuuwa upinzani zimebuma ameshindwa DPP, mahakama,msajili,polisi, wasiojulikana,chaguzi feki za marudio, manunuzi vyote vimebuma sembuse hii karantini ya ccm?.Kila siku tunarudia njia pekee ya kuuwa upinzani ni kupambana na umasikini wetu ukiweza uuwa umasikini umeweza uuwa upinzani na Wala utohitaji msaada wa police.Njia zingine zote wataishia kuukimbiza upepo tu.Hata ya nccr kama karantini itabuma tu.Sijui Nani huwa anawapa shauri za hovyo hizi zenye gharama labda tu anazitumia kupigia pesa.Wao awajiulizi 5yrs wanapambana kuuwa upinzani kuliko kupambana kuuwa umasikini na wameshindwa.Matatizo ya watz sio uwepo wa mbowe Bali ni uwepo wa umasikini.Ukiangalia mwenendo wa viongozi wa Chadema hivi sasa wanaohama chama hicho kuhamia NCCR Mageuzi utagundua wazi kuwa chama tawala kina mkakati wa wazi wa kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020
Tamko la kiongozi wa NCCR Mageuzi, James Mbatia la hivi karibuni linalithibitisha hili, pale alipotamka kuwa chama chake cha NCCR Mageuzi ndicho kinachotegemewa kuwa chama kikuu cha upinzani nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020
Huo ndiyo mkakati wao watawala wetu wa CCM wa "kukiwezesha" chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020
Hata ukiangalia viongozi wanaohama Chadema hivi sasa, wengi wao wanahamia chama cha NCCR Mageuzi, ikionekana wazi, hayo ni "maelekezo maalum" kutoka kwa chama tawala
Kulithibitisha hilo tumejionea namna wabunge wawili wa kuchaguliwa, akina Antony Komu na mwenzie Selasini, wakisema wazi kuwa wanahamia chama cha NCCR Mageuzi.
Si hao tu, hivi majuzi tumeshuhudia pia wabunge wengine wawili wa viti maalum wa Chadema, Suzane Masele na mwenzie Joyce Sokombi, nao wakifuata nyayo hizo hizo za kuhamia chama cha NCCR Mageuzi
Swali langu ni je watawala hawa wa CCM wataweza kuufanikisha mkakati wao huo?
Nauliza swali hili, kwa kuwa najua kuwa mioyoni mwa watanzania mamilioni tegemeo lao kubwa lipo kwa chama cha Chadema, kuwa ndiyo chama pekee cha upinzani nchini, cha kuwakomboa kutoka kwenye mikono ya chama tawala.
Je watawala wetu wataweza kugeuza mapenzi ya mamilioni hao wa kitanzania kwa chama chao cha Chadema na waweze kukipenda chama cha NCCR Mageuzi kwa matakwa ya watawala hao?
Mbatia keshaona fursa ipo ngoja aitumieHuyo ndama (Nccr Mageuzi)wa kuchonga wa CCM hawezi kuwa sadaka safi Mbele za Mungu. Huyo ni kwaajili ya watawala siyo kwaajili ya wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tindikali KaliLabda anajua nyie ndo mnaenda kushika dola😂😂....na CCM kuwa chama cha pili cha upinzani!
Alishayasema mungu wenu na ameshindwa kutuonyesha hata kaburi.Soon mtaanza kuwashabikia maana chadema itakuwa dead and buried...
Ktk msafara wa mamba ni vigumu kuwaepuka kenge!Kwa nini mnakuwa na wanachama wanaohongeka? Vetting yenu ina mapungufu...na vetting hii inafanywa na viongozi hivyo udhaifu wa viongozi ni udhaifu wa chama.
Bora bunge livunjwe ili wanakwenda waende wabakie wanaume ,suala la mtaji sio la kuuliza underground wako wengi Sana na wazuri kuliko hao Frontline.CDM ni sawa Koffi olomide mopao yeye ndie musiki hao kundi lake wote wakiondoka kesho usuka vipaji vipya sababu underground ni wengi kuliko nafasi tu awajapewa.Chadema watashinda majimbo mengi tu.. chamsingi ni kuwa na mkakati maalumu kwenye majimbo yao ya kimkakati na kuhakikisha kuwa mpango wowote wa uchakachuzi au kuvuruga uchaguzi haufanikiwi ktk majimbo hayo. Pia kura za maoni za watia nia zitokane na matakwa ya wananchi!
Bana likasiBora bunge livunjwe ili wanakwenda waende wabakie wanaume ,suala la mtaji sio la kuuliza underground wako wengi Sana na wazuri kuliko hao Frontline.CDM ni sawa Koffi olomide mopao yeye ndie musiki hao kundi lake wote wakiondoka kesho usuka vipaji vipya sababu underground ni wengi kuliko nafasi tu awajapewa.
Upinzani ni dini huwezi ukaiuwa Imani.Ccm imewekeza kutegemea polisi badala ya kuwekeza kwenye hoja.