Uchaguzi 2020 Je, lengo la watawala kukifanya chama cha NCCR Mageuzi kuwa chama kikuu cha upinzani baada ya mwaka 2020 litafanikiwa?

CCM haijawahi kutaka upinzani wa kweli nchi hii ndio maana inajaribu kuuwa vyama vya upinzani kwa kutumia dola au kutengeneza mfano wa chama cha upinzani ambacho ni jina tu upinzani ila matendo yake yawe ccm ili watawala walale usingizi
Mbatia amuulize Lipumba CUF 2020 haiwezi pata hata diwani mmoja, 2016 Lipumba alikuwa anashinda Ikulu kama kwake.
 
Dawa ya hawa CCM ni ndogo sana, ni kuikataa Tume yake hii ya uchaguzi, ambao muundo wake ni wa hivyo kupita kiasi.. ushahidi ni chaguzi ndogo zote zimeleta mauaji na fujo za ajabu...

Leo kada wa chama mtiifu wa CCM eti ndiye awe msimamizi Mkuu wa uchaguzi? hata ningekuwa mimi nitasikiliza chama changu kinanitaka nifanye nini.

Hizi tuhuma za CCM kutaka kuitengeneza NCCR kuwa chama kikuu cha upinzani ki kubwa mno, lazima zifanyiwe kazi kabla ya uchaguzi Mkuu mwezi October.
 
NCCR walichangia sana kukua kwa demokrasia lakini chadema wamefifisha kabisa. Hatuwezi kuendelea na chadema kama chama kikuu vinginevyo upinzani utafutika kabisa.Kurudi kwa NCCR kutafufua ustawi wa demokrasia. Karibu sana Mbatia mtoto wa MAMA TANZANIA, ufufue matumaini yetu wanamageuzi
 
Kwanza,
NCCR - MAGEUZI ina mizizi ya CCM. Kama unabisha angalia waasisi wake. Wengi walikuwa ni watu wa system na walienda huko kwa minajili ya kuu-control upinzani ili usiwe kikwazo kwa chama tawala. Na kwa yanayoendelea bado nina mashaka sana kama NCCR - MAGEUZI wanamaanisha kuwa wapinzani wa kweli kama wanavyojitanabaisha
 
Hawa wanasiasa hawajifunzi jamani?ccm wamechoka na propesa na sasa wamehamia kwa mbatia! Mbatia ameshindwa kabisa kupata leaf kutokana na yaliyomsibu propesa??? Ajabu!
Ccm wanachotaka ni divide and rule sawa na mambo yaliyofanywa na makaburu wa Africa ya kusini-kumwambia kila moja “wewe ni bora kuliko Yule” hivyo kwamba kila moja anadhani yeye ni rafiki wa kaburu kwa hiyo atahurumiwa kumbe yote ni uwongo!
Mwulizeni Mrema alichofanyiwa katika local government election 2Alilia kuwa walimwibia hata Kijiji chake kimoja cha Kiraracha. Just imagine that!!!
Mwambieni Mbatia you are in for a surprise!!!!!!’
Hahaha and Hahaha!!!!!!!
 
NCCR inajitambulisha wapi? Kwanza wana watu? Sanasana akihirumiwa Mbatia atapewa kiti chake kimoja bungeni. Na siri yake ya kuwahadaa wafuasi wake ndiyo hiyo. Anataka wafanye kazi bure ili yeye apatiwe kiti chake. Mchezo mchafu huo!!
 
Mkuu Upinzani wote huwa tunajitahidi sana kujipa moyo, lakini huku kwenye ngome yenu Kilimanjaro sisi tunao ishi huku tuna tahadharisha ngome inashambuliwa sana nafikiri kuliko Mbeya,

CCM wanaweza kuikomboa muda wowote, Njooni muongeze nguvu Askari wa akiba tunazidiwa nguvu.
 
Wanajilisha upepo...
NCCR ikijitahidi sana kwenye ubunge ni wabunge 1 na labda wa kuteuliwa 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…