Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Labda bado walikuwa wanajadiliana na ku debate wenyewe kama ni kweli hawanaye tena kwa hofu kubwa anaweza kuibuka tena ikawa kizungumkuti, bwana yule alikuwa anatisha[emoji16]
Lakini jambo si la kitabu kwani witch akisema tayari unadhani anaweza ku kam baki
 
Bado ni kitendawili mpala leo! Nadhani kulikuwa na argument juu ya nani atakuwa steering leader ili gari letu liendelee na safari!
 
Kwa hiyo tuwe tunasheherekea tarehe 22 badala ya 17 march
 
Nausoma kwa kurudia uzi wako huku natafakari na kutafakari sana
yes, kuna baadhi ya mabandiko yangu ni mabandiko ya watu wa kawaida, kila mtu anaweza kuyasoma na kuyaelewa, na kuna baadhi ya mabandiko yangu, sio mabandiko ya watu wa kawaida, ni mabandiko ya people with brain!.
P
 
yes, kuna baadhi ya mabandiko yangu ni mabandiko ya watu wa kawaida, kila mtu anaweza kuyasoma na kuyaelewa, na kuna baadhi ya mabandiko yangu, sio mabandiko ya watu wa kawaida, ni mabandiko ya people with brain!.
P
Ni muda umepita tangu uweke post namba 1. Naona bado wenye majibu wanasubiri upepo utulie waje na clue angalau kujibu maswali mawili matatu.

Huu uzi ni spesho sana
 
Ni muda umepita tangu uweke post namba 1. Naona bado wenye majibu wanasubiri upepo utulie waje na clue angalau kujibu maswali mawili matatu.

Huu uzi ni spesho sana
Its true, tena sio uzi ni special, pia ni for special people!.
P
 
Japo miaka inaendelea kupita bila ukweli halisi kuwekwa bayana, this is the day na kuna siku itafika ukweli huu utawekwa bayana!, swali tunalojiuliza bila majibu, ni walikuwa wanafanya nini na huo... kwa siku 5 nzima mpaka tulipojulishwa?.
P

Hiyo namba 8 inaleta maswali mengi zaidi. Kumbe alikuwa kijana wao bana.

Hizi tarehe za viongozi kufa huwa wanazificha kwa ajili ya mslahi ya nani? Kiroho inakuwa imekaaje hii?
 
Was it a mansalughter?
Hapa ndipo maswali yanapoanzia!, kitu kama kime happen, just natural, why hide for 5 good days?!. Halafu mhusika mkuu wa kwanza anayepaswa kujulishwa, what is going on, mnamtuma Tanga!. mnamdanganya ametumwa na fulani!, kumbe huyo fulani... ni zamani five days before!, ni nani hao wanaweza kufanya uongo mkubwa wa ajabu hivyo?!, na walifanywa nini?!.
P
 
Those were the very dark days in the country, my dear Tanzania.
Tujue tu kuwa the passing was managed and we thank God, ama sivyo ingewezekana kuingia anarchy.
 
Bado kitambo kidogo ukeli utaanikwa bayana bila chenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…