habari wadau..
kesho ni nov 13 ambayo jaji atatoa hukumu kwa lulu kutokana na kesi yake..
kiukweli namuonea huruma sana...
na huu ni uzi special wa kumtakia heri kwenye kesi yake hukumu isiwe mbaya kwake nina imani hakutarajia kama haya yangetokea.. usiku ule wa ijumaa kuu angeshinda ndani kwao anacheki movie au amelala yasingemkuta yote haya
kwa niamba ya fans wake wote namuombea heri.. japo najiuliza je na usiku wa kesho lulu atalala chumbani kwake au leo ndio siku ya mwisho kulala chumbani kwake??