Je leo ni siku ya mwisho au na usiku wa kesho Lulu atalala chumbani kwake?

Je leo ni siku ya mwisho au na usiku wa kesho Lulu atalala chumbani kwake?

Akionekana kesho nitamshangaa sana...! Kwa nn asikimbie aende hata somalia huko...!
 
habari wadau..

kesho ni nov 13 ambayo jaji atatoa hukumu kwa lulu kutokana na kesi yake..

kiukweli namuonea huruma sana...

na huu ni uzi special wa kumtakia heri kwenye kesi yake hukumu isiwe mbaya kwake nina imani hakutarajia kama haya yangetokea.. usiku ule wa ijumaa kuu angeshinda ndani kwao anacheki movie au amelala yasingemkuta yote haya

kwa niamba ya fans wake wote namuombea heri.. japo najiuliza je na usiku wa kesho lulu atalala chumbani kwake au leo ndio siku ya mwisho kulala chumbani kwake??
Amuue Kanumba halafu unamtakia heri?
Mbona sikuelewi!!

Kuanzia kesho chakula ya mibwanajela! Atadinywa hatari.
 
ila kuna kitu kinaitwa bail pending apeal/ dhamana kusubiri rufani; hiyo ipo anaweza omba akapata kwa hiyo usifanye haraka kuhitimisha hivyo.
 
Kwa kweli bora ingekuwa imeshatolewa hukumu kabisa maana huko kusubiri ndio kunaumiza sana mkuu,anaweza kutoroka akaenda kule alikoenda yuleeeeeee kule state ambayo haina extradiction treaty na Tz
 
Msilewe pombe na mapanga uvunguni mkifa muwaachie watu misala. Kila siku mnaambiwa kunyweni pombe kwa tahadhari, mnaona sasa?
 
Kafungwe kanafaida gani, zaidi ya kufanya uma..laya, kashenzi sana.
 
Mingependa aachiwe huru maana kanumba mwenyewe arikuwa mwalibifu maana kipindi kile karikuwa katoto gadogo japo ilikuwa inapita
 
Kwa ule ushahidi ulikubaliwa na mahakama hasa wa yule mke wa Dr Slaa...ni vigumu kuamini Lulu atakutwa na hatia....
Judge halazimiki kufata ushauri wa wazee wa baraza
Kwakweli mimi sijaona kama jamhuri wamethibitisha pasipo kuacha shaka yoyote!
 
Ila nachowaza kama akienda gerezani si atakuwa chakula ya wakubwa wa kule na kale kasura kake kazuri
 
Back
Top Bottom