isotaaaa
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,944
- 824
Si kaua mkuu.?mbona mwizi wa kuku yupo gerazani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kaua mkuu.?mbona mwizi wa kuku yupo gerazani
Hata huyo mwizi wa kuku namuonea huruma kuwa gerezani....Si kaua mkuu.?mbona mwizi we kuku yupo gerazani
Amuue Kanumba halafu unamtakia heri?habari wadau..
kesho ni nov 13 ambayo jaji atatoa hukumu kwa lulu kutokana na kesi yake..
kiukweli namuonea huruma sana...
na huu ni uzi special wa kumtakia heri kwenye kesi yake hukumu isiwe mbaya kwake nina imani hakutarajia kama haya yangetokea.. usiku ule wa ijumaa kuu angeshinda ndani kwao anacheki movie au amelala yasingemkuta yote haya
kwa niamba ya fans wake wote namuombea heri.. japo najiuliza je na usiku wa kesho lulu atalala chumbani kwake au leo ndio siku ya mwisho kulala chumbani kwake??
Mshahara wa zambiiiii...........................Hata huyo mwizi wa kuku namuonea huruma kuwa gerezani....
[emoji23][emoji23][emoji23]Ataachiwa tu. Mahakama zetu hazinaga roho katili kwa warembo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewaza mbali sana... nimecheka hadi nimepaliwa.Akionekana kesho nitamshangaa sana...! Kwa nn asikimbie aende hata somalia huko...!
Kwakweli mimi sijaona kama jamhuri wamethibitisha pasipo kuacha shaka yoyote!Kwa ule ushahidi ulikubaliwa na mahakama hasa wa yule mke wa Dr Slaa...ni vigumu kuamini Lulu atakutwa na hatia....
Judge halazimiki kufata ushauri wa wazee wa baraza