Pre GE2025 Je, Lissu ataweza kumng'oa Mbowe?

Pre GE2025 Je, Lissu ataweza kumng'oa Mbowe?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
20241207_072726.jpg


Miaka zaidi ya 20 akiwa mwenyekiti wa Chadema imekuwa ni kama jinai kugombea kiti chake.
Mbowe sasa anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Tundu Lissu kipenzi cha wapenda haki ndani ya chadema.

Ni wazi kuna kila dalili Lissu kumuangusha Mbowe.

Je atafanikiwa?

Tupe maoni yako
 
Lisu anacheza na moto. Kasahau ule msemo kuwa sumu huwa haionjwi? Kama anabisha aende akamuulize Chacha Wangwe.

IMG-20241207-WA0069(1).jpg
 
Msigwa alikuwa kampeni meneja wa Lissu kwenye uenyekiti wa Chadema.

Amepitiwa na kimbunga cha kisulisuli, tunajua alikuwa kifaranga tu, tuko tayari kwa ajili ya mama wa kifaranga
 
View attachment 3171373

Miaka zaidi ya 20 akiwa mwenyekiti wa Chadema imekuwa ni kama jinai kugombea kiti chake.
Mbowe sasa anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Tundu Lissu kipenzi cha wapenda haki ndani ya chadema.

Ni wazi kuna kila dalili Lissu kumuangusha Mbowe.

Je atafanikiwa?

Tupe maoni yako
namuhofia sana, ataishia kuumizwa tu kisiasa. kuonja sumu kwa ulimi sio mzaha wala utani ndani ya chadema saccos, itamgharimu :NoGodNo:
 
Naona lisu ameamua kujitosa ili aonje sumu kwa ulimi?! Chacha Wangwe alijaribu, yakamkuta yakutukuta. Ngoja tuone.
 
Back
Top Bottom