Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Hapo awali walisemaga eti ni vijimaneno tu vya fitina kutoka chama tawala; sasa mambo yote hadharani.
Ila ushauri wangu, wadumishe amani wakijua 2025 haiko mbali - labda kama wameshakubaliana na hali ilivyo, kama walivyofanya kwenye uchaguzi wa Serikaliza Mitaa.
Ila ushauri wangu, wadumishe amani wakijua 2025 haiko mbali - labda kama wameshakubaliana na hali ilivyo, kama walivyofanya kwenye uchaguzi wa Serikaliza Mitaa.