😆😆😆 Umeingizwa choo cha kike kibwege sana!Wewe ndio ujui omba uelezwe sio kupiga kelele JF
Alishawaaga Kamati kuuMbkwe kakalia kuti kavu.
namuhofia sana, ataishia kuumizwa tu kisiasa. kuonja sumu kwa ulimi sio mzaha wala utani ndani ya chadema saccos, itamgharimuView attachment 3171373
Miaka zaidi ya 20 akiwa mwenyekiti wa Chadema imekuwa ni kama jinai kugombea kiti chake.
Mbowe sasa anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Tundu Lissu kipenzi cha wapenda haki ndani ya chadema.
Ni wazi kuna kila dalili Lissu kumuangusha Mbowe.
Je atafanikiwa?
Tupe maoni yako
Safari hii Mbowe ana hali mbaya upepo upo kwa LissuLisu anacheza na moto. Kasahau ule msemo kuwa sumu huwa haionjwi? Kama anabisha aende akamuulize Chacha Wangwe.
View attachment 3171378
Lissu ndio atang'oka yeye.View attachment 3171373
View attachment 3171382
Miaka zaidi ya 20 akiwa mwenyekiti wa Chadema imekuwa ni kama jinai kugombea kiti chake.
Mbowe sasa anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa Tundu Lissu kipenzi cha wapenda haki ndani ya chadema.
Ni wazi kuna kila dalili Lissu kumuangusha Mbowe.
Je atafanikiwa?
Tupe maoni yako