Je, Liverpool anaandaliwa mazingira?

Je, Liverpool anaandaliwa mazingira?

VAR
1. Tottenham
2. Liverpool
3. Man u

Wengine inatumika kuwanyonga ..... likifungwa goli inatafutwa faul ya kulazimisha kwa VAR na man city kaumizwa sana
 
Sote ni mashahidi wa namna Klopp ameibadili Liverpool, ameibadili kutoka mediocrity hadi kuwa miongoni wa zile Timu tishio ulaya.

Kikwazo pekee kwenye mafanikio ya Klopp ni kiu ya Premier League ambayo hawajaipata Tangia Rais wa Tz akiwa Mzee Mwinyi, na anayeonekana kumzuia ni Pep Guardiola.

Jana wote tumeona game yenye ushindani mkali sana kati ya Pep na Klopp, game ilikuwa kali sana ila iliharibiwa na refa ambaye alikataa katu katu kutumia teknolojia licha ya matukio mbali mbali uwanjani na imekuwa mfululizo wa maamuzi mabaya ya marefa dhidi ya Man city.

Kwa muenendo wa jana nadhani kuna campaign dhidi ya Man city ambayo mosi, wasichukue EPL mara 3 mfululizo ambapo itaharibu dhana ya ugumu wa Premier League na pili Liverpool wachukue ubingwa na wafute mwiko wa kutolichukua kombe kwa muda mrefu.

Kwa hali hii, unadhani mbinu za figisu dhidi ya Man City na Pep zitafaulu?
anza kwanza na goli kengeza alilofunga Manure dhidi ya Liverpool kwenye mechi iliyopita pale OT.

halafu rudi kwenye goli halali lililokataliwa la Firmino vs Aston Villa wiki iliyopita.

halafu uje jana vs ManCity uone Bernardo Silva alifanya nini na mkono wake kabla mpira haujamfikia TAA.

ndiposa utajua Liverpool anabebwa, habebwi!
 
Watu wanaandaliwa.
Referee hakua na sababu ya VAR sababu alikua karibu na tukio na sheria naijua kama haikua penalty soma sheria hii kama unakijua kiingereza pia kila refa kaunga mkono kasoro pundits ambao walikua wachezaji.
1573492735864.png
 
Sote ni mashahidi wa namna Klopp ameibadili Liverpool, ameibadili kutoka mediocrity hadi kuwa miongoni wa zile Timu tishio ulaya.

Kikwazo pekee kwenye mafanikio ya Klopp ni kiu ya Premier League ambayo hawajaipata Tangia Rais wa Tz akiwa Mzee Mwinyi, na anayeonekana kumzuia ni Pep Guardiola.

Jana wote tumeona game yenye ushindani mkali sana kati ya Pep na Klopp, game ilikuwa kali sana ila iliharibiwa na refa ambaye alikataa katu katu kutumia teknolojia licha ya matukio mbali mbali uwanjani na imekuwa mfululizo wa maamuzi mabaya ya marefa dhidi ya Man city.

Kwa muenendo wa jana nadhani kuna campaign dhidi ya Man city ambayo mosi, wasichukue EPL mara 3 mfululizo ambapo itaharibu dhana ya ugumu wa Premier League na pili Liverpool wachukue ubingwa na wafute mwiko wa kutolichukua kombe kwa muda mrefu.

Kwa hali hii, unadhani mbinu za figisu dhidi ya Man City na Pep zitafaulu?
Pep anajua sheria inasemaje ila hakutaka kukubali Liverpool walimzidi kimkakati kwa mpira. Na hii ni sheria iliyowekwa na Premier League wala siyo ya referee

See the main law amendments that Premier League players and fans will need to be aware in 2019/20
Related Articles
What's new in 2019/20?
New laws for 2019/20: Free-kicks
Download the 2019/20 fixtures to your calendar

The International Football Association Board (IFAB) has updated the Laws of the Game for the 2019/20 season.
Handballs
Any goal scored or created with the use of the hand or arm will be disallowed this season even if it is accidental.
The handball rule now has extra clarity because it does not consider intent by a player.
Another big change is to do with the position of a player's hand/arm.
If the ball hits a player who has made their body "unnaturally bigger" then a foul will be awarded.
IFAB says that having the hand/arm above shoulder height is rarely a "natural" position and a player is "taking a risk" by having the hand/arm in that position, including when sliding.
It is, however, considered natural for a player to put their arm between their body and the ground for support when falling, so long as the arm is not extended to make the body bigger.
Deflections
Premier League players will be allowed extra leeway when it comes to ricocheted handballs.
It is often impossible to avoid contact with the ball if it has deflected off the body of an opponent, team-mate, or even another part of the own player.
So a handball will not be awarded if the ball touches a player’s hand/arm directly from their own head/body/foot or the head/body/foot of another player who is close/nearby.
See: IFAB handball law changes in full
See: What's new in 2019/20?
 
Allikamia UEFA na bila hiyana amebeba(Ushahidi ni kuingia fainali mara mbili mfululizo) sasa namuona kabisa anataka EPL trophy kwa udi na uvumba na hadi sasa sijaona wa kumzuia.Huyu mtu Klopp ana balaa jamani tuache vijisababu visivyo na kichwa wala miguu.Mwenye chake mpe hata kama kwa shingo upande.
Sote ni mashahidi wa namna Klopp ameibadili Liverpool, ameibadili kutoka mediocrity hadi kuwa miongoni wa zile Timu tishio ulaya.

Kikwazo pekee kwenye mafanikio ya Klopp ni kiu ya Premier League ambayo hawajaipata Tangia Rais wa Tz akiwa Mzee Mwinyi, na anayeonekana kumzuia ni Pep Guardiola.

Jana wote tumeona game yenye ushindani mkali sana kati ya Pep na Klopp, game ilikuwa kali sana ila iliharibiwa na refa ambaye alikataa katu katu kutumia teknolojia licha ya matukio mbali mbali uwanjani na imekuwa mfululizo wa maamuzi mabaya ya marefa dhidi ya Man city.

Kwa muenendo wa jana nadhani kuna campaign dhidi ya Man city ambayo mosi, wasichukue EPL mara 3 mfululizo ambapo itaharibu dhana ya ugumu wa Premier League na pili Liverpool wachukue ubingwa na wafute mwiko wa kutolichukua kombe kwa muda mrefu.

Kwa hali hii, unadhani mbinu za figisu dhidi ya Man City na Pep zitafaulu?
 
Uzi wa Wanafiki wakiwa katika ubora wao

Last game Liverpool v/s Astonvilla Oxlade Chamberlain alipiga shuti na Aston Villa akanawa lakini hakuna Mtu aliyelalamika kuhusu VAR kutunyima tuta.

Lakini leo imetokea kwa Liverpool basi kila Mtu kawa blamer
Msimu uliopita Man City vs Liver mpira ulivuka mstari goli la liver likakaliwa,dakika ya 90+ man city wananawa mpira ndani ya box refa akapeta ila wao ndo wanakumbuka shuka Leo,mwisho wa siku man city kapoteana msimu huu
 
Ukimind next game pale etihad kachezeshe mwenyewe na VAR uifute tu ili game liwe na usawa
 
Refa kukataa kutoa penat katika ule cheza wa Liva na Man City ilitakiwa uwe na Moyo wa Chuma na si sheria za soka. Mbaka leo yale matukio nikiyakumbuka siamini katika Mechi kubwa kama ile Refa anaweza kufanya vituko vile bahati nzuri yale matukio yametokea Refa akiyaona kwa ufasaha mkubwa.
Ule upuuzi umekua mjadala kwa wapenda soka duniani wiki hii.
 
anza kwanza na goli kengeza alilofunga Manure dhidi ya Liverpool kwenye mechi iliyopita pale OT.

halafu rudi kwenye goli halali lililokataliwa la Firmino vs Aston Villa wiki iliyopita.

halafu uje jana vs ManCity uone Bernardo Silva alifanya nini na mkono wake kabla mpira haujamfikia TAA.

ndiposa utajua Liverpool anabebwa, habebwi!
Kwa comment yako hii bila shaka unakubali VAR ni upuuzi
 
Refa kukataa kutoa penat katika ule cheza wa Liva na Man City ilitakiwa uwe na Moyo wa Chuma na si sheria za soka. Mbaka leo yale matukio nikiyakumbuka siamini katika Mechi kubwa kama ile Refa anaweza kufanya vituko vile bahati nzuri yale matukio yametokea Refa akiyaona kwa ufasaha mkubwa.
Ule upuuzi umekua mjadala kwa wapenda soka duniani wiki hii.
Vipi kuhusu faulo aliyochezewa origi kabla ya man untd kupata goli vs LFC pale OT.

VIP kuhusu goli la firmihno dhid ya Aston Villa!!??
VIP kuhusu mpira uliodakwa na mchezaji waAston Villa akizuia shuti la ox pale Villa Park!?

VIP kuhusu benardo Silva kuunawa mpira kabla Trent nae kuugusa kwa mkono!!

NI HILI LA TRENT TU NDIO LIMEKUWA GUMZO MKUU!!?MBONA YANAONGELEWA NI MENGI!!!
Mpira NI mchezo wa makosa na wakat mwingine unahitaji bahati kidogo matokeo kuwepo upande wako.
 
Kwa upande wngu bro Kama ulivyosema ujue hapo mwanzo Liverpool ilionekna ni timu mbovu Sana lkn kwa sasa ni timu tishio duniani na ulaya kiujumla lkn ukiangalia mechi dhidi ya Leicester city,Tot na Man City inaonekana wazi kabisa wanamtengenezea Liverpool achukuel EPL ,Kama ni hivyo bac kubwa litakaloweza mfanya Man City kutetea taji lake ni haluhusiwi kupoteza mechi yoyote ile Kama akipoteza inamaana atazidi mtengenezea mazingira Mazuri Liverpool kuchukua ubingwa
 
anza kwanza na goli kengeza alilofunga Manure dhidi ya Liverpool kwenye mechi iliyopita pale OT.

halafu rudi kwenye goli halali lililokataliwa la Firmino vs Aston Villa wiki iliyopita.

halafu uje jana vs ManCity uone Bernardo Silva alifanya nini na mkono wake kabla mpira haujamfikia TAA.

ndiposa utajua Liverpool anabebwa, habebwi!
Mkuu watu wanaumia roho Hadi wanaanzisha nyuzi,hayo yote yaliyofanwa dhidi ya LFC hukuona uzi wwt ukiianzishwa juu ya VAR...Sasa leo waliokuwa na matokeo yao mfukoni wiki imeenza vibaya wamekuja na Uzi ha ha ha ha VAR INAMBEBA LFC
 
Uzi wa Wanafiki wakiwa katika ubora wao

Last game Liverpool v/s Astonvilla Oxlade Chamberlain alipiga shuti na Aston Villa akanawa lakini hakuna Mtu aliyelalamika kuhusu VAR kutunyima tuta.

Lakini leo imetokea kwa Liverpool basi kila Mtu kawa blamer
Kweli mkuu, pia hata match ya man u, mbona liver alibaniwa sana lakin walikubaliana matokeo
 
anza kwanza na goli kengeza alilofunga Manure dhidi ya Liverpool kwenye mechi iliyopita pale OT.

halafu rudi kwenye goli halali lililokataliwa la Firmino vs Aston Villa wiki iliyopita.

halafu uje jana vs ManCity uone Bernardo Silva alifanya nini na mkono wake kabla mpira haujamfikia TAA.

ndiposa utajua Liverpool anabebwa, habebwi!
Bernardo silva alitoa pasi kwa mkono hilo hawaliongelei

Pili hawaongelei kitendo cha sterling kumshikisha mpira trent makusudi kabisa
Uzuri mkono wa trent ulkua on its natural position... Achana na sheria mpya ya epl but kuna sheria inaongelea kuhusu mkono kuwa kwenye its natural position

Tatu hawasemei tulichofanywa mechi y manchester united from their goal
Tuanzebe kushika mpir dakika ya tisin na nne.. Wala hatukulalamika sehem

Hawaongelei mechi yetu na aston villa jamaa aliunawa kabisa mkono... Var kukataa goli letu

This people are stupid na ni wapumbavu ni waweka mikeka flani ambao kwa akili zao za kipumbavu waliamini man city atamfunga liverpool
 
Refa kukataa kutoa penat katika ule cheza wa Liva na Man City ilitakiwa uwe na Moyo wa Chuma na si sheria za soka. Mbaka leo yale matukio nikiyakumbuka siamini katika Mechi kubwa kama ile Refa anaweza kufanya vituko vile bahati nzuri yale matukio yametokea Refa akiyaona kwa ufasaha mkubwa.
Ule upuuzi umekua mjadala kwa wapenda soka duniani wiki hii.
sijaelewa una maana gani? Unakubali Refer alikua sawa ama unawasikikliza ma pundit ambao wengi hujadili kwa mapenzi ya timu zao. Rejea sheria iliyobadilishwa na EPL msimu huu kwa kutumia VAR. Ingia katika EPL website ndiyo utajua kwanini refer aliruhusu lile goal. Mareferii wote wastaafu wamemuunga mkono referii maana wanasema hata kama angeenda kuianglia VR asingebadilisha matokeo. Kosa la refa lilikua kutotoa adhabu pale Mcghezaji wa City alipounawa ule mpira. Kwasababu hakuchukua hatua kuwapatia free kick Liverpool hivyo kilichoendelea pale hakuna kosa liliofanyika sababu sheria inasema mpira uli deflect kutoka kwa mchezaji mwingine na kumgusa mchezaji wa upinzani hautakuwa kosa sababu mwelekeo haukulengwa kwenda kwa huyo mchezaji.

See the main law amendments that Premier League players and fans will need to be aware in 2019/20


The International Football Association Board (IFAB) has updated the Laws of the Game for the 2019/20 season.
Handballs
Any goal scored or created with the use of the hand or arm will be disallowed this season even if it is accidental.
The handball rule now has extra clarity because it does not consider intent by a player.
Another big change is to do with the position of a player's hand/arm.
If the ball hits a player who has made their body "unnaturally bigger" then a foul will be awarded.
IFAB says that having the hand/arm above shoulder height is rarely a "natural" position and a player is "taking a risk" by having the hand/arm in that position, including when sliding.
It is, however, considered natural for a player to put their arm between their body and the ground for support when falling, so long as the arm is not extended to make the body bigger.
Deflections
Premier League players will be allowed extra leeway when it comes to ricocheted handballs.
It is often impossible to avoid contact with the ball if it has deflected off the body of an opponent, team-mate, or even another part of the own player.
So a handball will not be awarded if the ball touches a player’s hand/arm directly from their own head/body/foot or the head/body/foot of another player who is close/nearby.

Ahead of the 2019/20 season, we look at the new things to keep an eye out for in the Premier League.

Video Assistant Referees (VAR)
The new Premier League season will be the first to feature VAR after it was approved in November 2018 by the clubs and tested over the course of the 2018/19 campaign.

All 380 matches will have a VAR, a qualified referee who will be watching the match via screens at the VAR Hub at Stockley Park in west London.

The VAR will constantly monitor the match but will be used only for "clear and obvious errors" or "serious missed incidents" in four match-changing situations:

The VAR will work on the following basis: "Is what the on-field match official team did clearly and obviously wrong in those four key areas?"

If they think this is the case, the VAR can communicate with the on-field referee via a two-way radio system.

Referee has final say
The final decision will always be taken by the on-field referee. The VAR does not make decisions and only advises the on-pitch referee.

Fans in the stadium will be told of any VAR-related delay in play via Premier League graphics on the big screens and/or announcements over the PA system.

In stadiums with big screens, the VAR may also broadcast definitive video clips for decisions overturned by the VAR to help explain the decision to the fans.
 
Back
Top Bottom