Viongozi goigoi
Member
- Dec 28, 2016
- 50
- 52
Jana ulikuwa ni usiku wa Ulaya ambapo Liverpool walipepetana na Tottenham ambapo Liverpool walifanikiwa kutwaa ubingwa kwa kuibamiza Tottenham magoli mawili kwa nunge, Salah katika dakika ya kwanza na sekunde 48 na Divok Origi katika dakika za lala salama, unakuwa ubingwa wa 6 katika michuano ya Ulaya ,wapo katika nafasi ya 3 nyuma ys Ac Mila(7) na Real Madrid(13)
Mchezo haukuwa na kasi sana, hii ilichangiwa na goli la mapema la Salah, Liverpool waliamua kuupoteza mchezo na kubaki compact at the back,hii iliwafanya Tottenham kunyimwa clear cut chances za kufunga katika dakika 75 za mchezo, Liverpool walisimama imara kwenye kuzuia kuhakikisha hawapati goli
Mpaka kufikia hatua ya fainali, Liverpool walipitia kwenye mikono ya mabingwa ya Ujerumani, Ureno na Hispania,hii yote inaonyesha ni jinsi gani walivyo na team imara
Pia kwenye league hawakuwa vibaya, wamepambana na kupata pointi 97,walistahili ubingwa, katika michezo 38 wamepoteza mechi 1 tu,jambo linaonyesha ni namna gani wamekuwa team imara zaidi ndani na nje ya Uingereza
Je kubeba taji la Ulaya kutafungua milango zaidi ya kunyakua makombe zaidi??
Je ni sehemu gani ya Liverpool ina mapungufu, je ni mambo gani Liverpool wafanye ili kuendelea kubaki kwenye ubora wao au kuimarika zaidi??
Je nini hatima ya Tottenham,wataweza kuingia kwenye fainali nyingine ya Ulaya hivi karibuni??
Karibuni kwa mjadala
Mchezo haukuwa na kasi sana, hii ilichangiwa na goli la mapema la Salah, Liverpool waliamua kuupoteza mchezo na kubaki compact at the back,hii iliwafanya Tottenham kunyimwa clear cut chances za kufunga katika dakika 75 za mchezo, Liverpool walisimama imara kwenye kuzuia kuhakikisha hawapati goli
Mpaka kufikia hatua ya fainali, Liverpool walipitia kwenye mikono ya mabingwa ya Ujerumani, Ureno na Hispania,hii yote inaonyesha ni jinsi gani walivyo na team imara
Pia kwenye league hawakuwa vibaya, wamepambana na kupata pointi 97,walistahili ubingwa, katika michezo 38 wamepoteza mechi 1 tu,jambo linaonyesha ni namna gani wamekuwa team imara zaidi ndani na nje ya Uingereza
Je kubeba taji la Ulaya kutafungua milango zaidi ya kunyakua makombe zaidi??
Je ni sehemu gani ya Liverpool ina mapungufu, je ni mambo gani Liverpool wafanye ili kuendelea kubaki kwenye ubora wao au kuimarika zaidi??
Je nini hatima ya Tottenham,wataweza kuingia kwenye fainali nyingine ya Ulaya hivi karibuni??
Karibuni kwa mjadala