Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Kipande hicho aliuza hayati.Haya nayo ni maajabu makubwa aliyoyafanya mama
Sio kweli hakuwa madarakani kipindi cha zainHaya nayo ni maajabu makubwa aliyoyafanya mama
wengine wanasema mzee wa RuksaKipande hicho aliuza hayati.
Ruksa sio hayati?wengine wanasema mzee wa Ruksa
Jiwe alushindwa kuuvunja huo mkataba?Sio kweli hakuwa madarakani kipindi cha zain
Nadhani alimaanisha maguRuksa sio hayati?
MwinyiMzuka?
Katika mabishano ya hapa na pale kuna mshkaji akawa ananiambia Loliondo ilishanunuliwa na waarabu na hata ukiingia kwenye eneo wanaolimiliki mtandao unasoma nchi ya UAE.
kama haitoshi anasema mara ya mwisho kuwa huko kila akitoka nje ya loliondo siku akirudi anatumiwa message na zain(kipindi icho) karibu nchi ya mwarabu ndani ya Tanzania.
Hii ni kweli?
Uzushi huuMwaka 1992 mwinyi aliwauzia UAE hata mitandao pale inatumika ya dubai na Kuna wanajeshi waarabu kabisa na uniform zao
leta ukweliUzushi huu
nchi ndani ya nchi.Loliondo mbona tangu zamani hiyo ni ya UAE?
Ukiingia mtandao unasoma Etisalat