Je! Macbook itanifaa?

Unaweza kuwa hata wewe huko sahihi sana kama unavyodhani. Nina maana jamaa unayem-challenge naye anaweza kuwa yuko sawa.
Hii nimei-quote kutoka website fulani. Na uki-google, kuna wengi tu wanakubali term ''PC'' limebadilika kutoka Personal Computer na kuwa Microsoft Windows based computers.

The term PC has taken on two meanings in the realm of computers, and while they are related, they have exclusive definitions.

Originally, PC was an abbreviation for "Personal Computer." In this context, any computer designed for personal use by a person can be considered a PC or a personal computer. Computers used in the home or the office are considered personal computers. By this definition, a Mac computer is a PC. A Mac is designed for personal use and is a computer, so that makes it is a PC.

However, when IBM introduced their first computer in August 1981, model number 5150, the term PC became something more specific. From that point on, the PC became a reference to IBM-compatible computers. Today, when PC is used to talk about a computer, it usually is referring to an IBM-compatible computer. By this definition, a Mac computer is not a PC, as it is not IBM-compatible.


PC is still an abbreviation for personal computer at times, however, in most cases it is referring to the IBM-compatible type of computer. While a Mac is considered a personal computer, it is not a "PC" in the specific sense that it doesn't run Microsoft Windows.
 
Haya uliyoyaandika nayajua vyema kabisa, tena kwa kukaa darasani.


Huu ni msemo uliozoeleka na unaenda kuwa official, ni kama tunavyosema bic tukimaanisha kalamu ya wino au shell tukimaanisha gas station.

So ukisema Mac ni Mac, PC ni hizo zingine mostly window.


Angalia hata tutorials za YouTube uone wanavyozi categorize, Mac ni Mac PC ni the rest most window based.
 
Mac ni consumer grade computer hence PC

Kama kigezo ni windows hata mac zinaingia windows pia.

Hizo tutorials za youtube ni mazoea tu, kwasababu wamekuta imezoeleka hivyo ila in strictest categorization mac ni PC.
 
Computer karibu zote zina uwezo wa ku run Microsoft OS,

Kama kigezo ni OS basi zote bado ni PC.

Ni sawa na kusema

Iphones sio smartphone kwasababu zina run IOS

Smartphones ni simu zingine janja zinazotumia android.

Kwa muktadha huo, smartphone, PC ni categorization tu ila haitambulishi specifically aina fulani.
 
Hujui unachoandika
 
Kama ni yakupigia kazi achana na Mac Book nunua i mac

Macbook nyingi ni dhaifu sana zinaanza kufa port za usb ambazo mara nyingi zimeungana na motherboard

Na pia zinatabia ya kupiga shot wire za charge

Ni rahisi Hp ku-survive kwa miaka hata 10 kuliko Mac na hali itakayokuwa nayo

Pia vifaa vya Mac ni expensive sana kuliko Pc

Faida zake zina Graphic Card nzuri kwa wale wa editing na utasahau mambo ya Virus.
 
Mac ni consumer grade computer hence PC

Kama kigezo ni windows hata mac zinaingia windows pia.

Hizo tutorials za youtube ni mazoea tu, kwasababu wamekuta imezoeleka hivyo ila in strictest categorization mac ni PC.
Naona unabwabwaja tu.
 
Naona unabwabwaja tu.
Mac ni PC

Tofauti ya macintosh computer na computer nyingine ambazo ni non osx ni operating system tu.

Modern Macs zinatumia architecture ya computer zingine zote ambazo ni intel based.

Swali dogo kwako?

Je lenovo akaamua ku develop OS yake ambayo itakua exclusively for lenovo computers, na hizi computer matumizi yake yakawa ni consumer grade computers, je kwa kufanya hivi hizi computer za lenovo zitakua sio PC tena?

kumbuka hardware zinazotumika kwenye apple, lenovo, gigabyte, asus, hp, dell ni zilezile tofauti ni quality tu na specs kulingana na manufacturer amelenga soko la ngazi gani.
 
Mwanangu unaupiga mwingi, tatizo lipo kwa hawa watumiaji wa bidhaa za Apple wanapenda utofauti wa kijinga sana
 
Unaandika mambo mengi ambayo ni irrelevant, we all know that elementary ICT concepts kabla hata ya kusoma computer architecture.


Elewa context ya kuita Mac kwa Mac na PC for non Mac ni naming tu ya utofauti.


Hiyo ni tungo tata, nadhani unakumbuka kiswahili sijui olevel sijui ni shule msingi.


Ni kama tunavyosema bic, bic ni brand ya kalamu lakini tumezoea kuita bic kama kalamu, the same applies kwa shell kama petrol station, nadhani umeelewa sasa.
 

kwani kirefu na maana ya neno PC ni nini???
 
Ila wote Mjomba Fujo na DA HUSTLA mpo sahihi.

Zamani kipindi cha ugomvi wa Steve job na Bill gate PC ilikuwa inatumika exclusive kama kifaa kinachorun windows na X86 processor. Hata ukiangalia articles za zamani utaona hivi

Ushahidi huu toka intel wenyewe

Na IBM walikuwa na trademark kabisa ya neno PC,

Enzi hizo Mac alikuwa anatumia architecture tofauti.

Baadae Mac naye akaanza kutumia Intel hivyo Mac nazo zikawa kama PC,

Ila siku hizi Mac zinatumia mfumo kama wa simu Arm, na kuna pc hazina Intel na Amd (x86) nazo zinatumia Arm kama simu.

So siku hizi neno pc linakuwa tata sana, vyovyote unavyojiskia unaweza tumia maana limeshapoteza maana.
 
Asante sana mkuu.


Nadhani, the argument is closed.
 
Mrejesho.

Nimenunua mac ya 2013.

Sijutii hata kidogo aisee iko bomba sana, nimependa shortcut zake na kuhusu mambo ya writing iko bomba sana, kukaa na charge, inajiongeza sana hata kitu kiwe kipya vipi inakupa maelekezo sio kama window PC, kama gari tu, PC ni manua car ila mac ni auto.


wapo watu walinambia ni ngumu kutumia akiwemo muuzaji mmoja wa PC[emoji23] sema hakuna kifaa kinachorahisisha kazi kama hii mashine ya sasa nlokuwa nayo.

Nawashukuru pia kwa wote mliotoa maelezo kuhusu mac.

Ukweli ni kwamba nilichelewa sana ila kule sitamani kurudi aisee[emoji23][emoji23]
 
Yaani umeongelea yaliyotukuta hapa job ilipga shoti chaja na USB port ikaja kufa na ina ports 2 tu kudadeki... Nazipenda sana Mac hata sie ma DJs tunapenda kuzitumia sabu ya Graphics yake ina run software ya SERATO DJ PRO bila lagging iko smooth unlike windows za kipuuzi mno huwa zinaganda ganda kufanyia DJing kwenye gigs kubwa kubwa....
 
Hongera sana, Mac ni rahisi sana kuzitumia ukiizoea, rahisi mnoo MFANO mtu anaetumia/Aliwahi kutumia Linux based OS kama KALI LINUX, Ubuntu etc.. Mac haiwezi kumshinda kutumia.
 
.
Mkuu, nilikuwa dilemma kwa muda mrefu kama wewe ila mwezi wa 9 mwaka huu nikaamua kuingia kwenye ulimwengu wa Macs. Nilinunua M1 Macbook Air (Late 2020) and all I can say is it's the best laptop ever made...Yes, it's that good.
.
Kuna mabadikiko kidogo kwenye namna ya kutumia ukilinganisha na Windows PC lakini ndani ya wiki 2 nimejikuta niko very comfortable.
.
Pia ukiwa na Macbooks ni kama investment, hizi computers zinadumu sana na zina hold value over a long time. Unaweza kuitumia hata kwa miaka 3 mpaka 5 na ukaiuza kwa bei nzuri.
.
Kuna sababu kwanini Apple ndio kampuni tajiri duniani, chukua Macbook hutajutia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…