Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

Changamoto ya Mafia ni usafiri wa uhakika. meli na kivuko kilichopo ratiba ya usafiri inaamuliwa na maji ya bahari kujaa.

Ratiba ya meli kutoka huku mafia kwenda nyamisati hufanyika usiku mnene kuanzia saa 6 usiku, saa 7 usiku hadi saa 9 usiku. Mabaharia wanadai ni kutokana na mkondo

Kukiwa na usafiri wa meli bado mtategemea na tabia ya bahari au ni kutokana na vifaa duni
 
Wenye maswali kuhusu Mafia uliza hapa ujibiwe, niko Mafia kikazi.

Usafiri kuna meli Mv songosongo inamilikiwa na Jeshi ina uwezo wa kubeba abiria 200+. Kuna kivuko Mv Nyamisati kinamilikiwa na Serikali kinabeba abiria 200 na mizigo tani 100.

Barabara ya lami ipo kutoka bandarini hadi Utende, kuna nyingine inawekwa lami sasa.
Mkuu vipi mafia kuna mademu wazuri? Je vipi maadili yao wanavaa vimini na kukosa adabu kama wa huku au wao wana adabu wametulia?
Nipo kwenye harakati za kutafuta mke
 
Back
Top Bottom