Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

Nyuma hapo, jengo la halmashauri
1705163208152.jpg
 
Nimefika huko, lami ya kuiunganisha na wilaya ningine hamna shida nini?

Si kweli mkuu labda tumefika zama tofauti

kat ya wilaya zilizo vizuri ni kilwa na lindi mc


labda kwa ujenzi wa barabara unaoendelea saizi Ruangwa inakuja juu
 
Back
Top Bottom