Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?


Kukiwa na usafiri wa meli bado mtategemea na tabia ya bahari au ni kutokana na vifaa duni
 
Mkuu vipi mafia kuna mademu wazuri? Je vipi maadili yao wanavaa vimini na kukosa adabu kama wa huku au wao wana adabu wametulia?
Nipo kwenye harakati za kutafuta mke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…