Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
-
- #141
Kanda ya ziwa umetembea wap mkuu shida inaanzia hapoKwa upande wangu sijawahi kuwaelewa madem wa kanda ya ziwa mkuu
Si unaambiwa haukatiki karibu Kilindoni kuna wataalii wa kumwaga,wala hawaendi kuangalia Pundamili kama huko kwenu.Umeme umefika lini
Mwanza , musoma, tarime ukiona mzuri ujue wakujaKanda ya ziwa umetembea wap mkuu shida inaanzia hapo
Si unaambiwa haukatiki karibu Kilindoni kuna wataalii wa kumwaga,wala hawaendi kuangalia Pundamili kama huko kwenu.
Hayo makabila ma4 tunaelewa ni wababe katika biashara,wasukuma je? Nipe elimu hapaWachukuliwe wakinga kama 500 wapelekwe
Wabena 300
wachaga 250
Waha 100
wasukuma 50 tu demographic na uchumi wa mafia utabadilika
Duh mafia imefika hapo nimeishi mafia miaka 90 Mambo hayo hayakuwepo kabisaNi wilayani tu, usitake pachangamke kama jijini mzee. Ila pia hapajapoa kama vijijini, pamechanganya kama zilivyo wilaya zingine, night club zipo bar zipo hata madada poa wapo wanatoa huduma kwa buku tano tu, uwe timamu au chizi ukiwa na buku tano unapewa misamba ya kufa ntu
Hayo makabila ma4 tunaelewa ni wababe katika biashara,wasukuma je? Nipe elimu hapa
Natamani siku moja nitembelee kisiwa cha mafia na baadhi ya wilaya za kusini kama Liwale, Nachingwea, Masasi na Mtwara-mikindani
Ipo siku
Naam siku moja nitafika kusiniLiwale kupo kushoto kabisa ndo wilaya ya mwisho kwa maendeleo Lindi iko mbali sana na wilaya nyingine
🤣🤣🤣 nimekuelewa mkuu,Nimewai kuishi maeneo yenye wasukuma,kweli hapo lazima population itaongezeka fasterWasukuma wanazaliana na kuchangamsha miji
miji yote waliopo hawa watu lazima inakua kwa kasi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekuelewa mkuu,Nimewai kuishi maeneo yenye wasukuma,kweli hapo lazima population itaongezeka faster
Hayo makabila ma4 tunaelewa ni wababe katika biashara,wasukuma je? Nipe elimu hapa
Naam siku moja nitafika kusini
Ni kweli ila miaka 10 mbele itakuja kuzipita na kuongoza kimkoa maana inakua na ina fursa mhimu kama kilimo, madini na biashara weengoja miundombinu ikae sawa na uinganishwe na moro kwa barabara kisha uone inavyopaaLiwale kupo kushoto kabisa ndo wilaya ya mwisho kwa maendeleo Lindi iko mbali sana na wilaya nyingine
Ni kweli ila miaka 10 mbele itakuja kuzipita na kuongoza kimkoa maana inakua na ina fursa mhimu kama kilimo, madini na biashara weengoja miundombinu ikae sawa na uinganishwe na moro kwa barabara kisha uone inavyopaa
Wabena ni wababe mkuu
Hayo makabila ma4 tunaelewa ni wababe katika biashara,wasukuma je? Nipe elimu hapa
Natamani siku moja nitembelee kisiwa cha mafia na baadhi ya wilaya za kusini kama Liwale, Nachingwea, Masasi na Mtwara-mikindani
Ipo siku