Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

Ni wilayani tu, usitake pachangamke kama jijini mzee. Ila pia hapajapoa kama vijijini, pamechanganya kama zilivyo wilaya zingine, night club zipo bar zipo hata madada poa wapo wanatoa huduma kwa buku tano tu, uwe timamu au chizi ukiwa na buku tano unapewa misamba ya kufa ntu
Duh mafia imefika hapo nimeishi mafia miaka 90 Mambo hayo hayakuwepo kabisa
 
Liwale kupo kushoto kabisa ndo wilaya ya mwisho kwa maendeleo Lindi iko mbali sana na wilaya nyingine
Ni kweli ila miaka 10 mbele itakuja kuzipita na kuongoza kimkoa maana inakua na ina fursa mhimu kama kilimo, madini na biashara weengoja miundombinu ikae sawa na uinganishwe na moro kwa barabara kisha uone inavyopaa
 
Ni kweli ila miaka 10 mbele itakuja kuzipita na kuongoza kimkoa maana inakua na ina fursa mhimu kama kilimo, madini na biashara weengoja miundombinu ikae sawa na uinganishwe na moro kwa barabara kisha uone inavyopaa

Yawezekana mkuu!!
fursa zinafunguliwa na miundo mbinu
 
Hiki kisiwa sijui hata kama serikali huwa inakumbuka kama kipo

Wakat huku wangekifufua kwa kukiwekea budget kubwa kuliko mikoa ya bara, miundo mbinu ya kutosha kingetisha sana
 
Back
Top Bottom