Je, Magufuli anajua Rais wa Malawi alikuwa Mpinzani?

Je, Magufuli anajua Rais wa Malawi alikuwa Mpinzani?

Wewe Mburula kwelikweli, hivi unadhani upinzani wa Malawi ni wa Mapandikizi kama wa kwako wewe.

Cha kujifunza Vyama vya upinzani kwetu vinaishi kisakosi isiyo kuwa na marejesho. Mfano Ruzuku inapokelewa lakini imekuwa mali ya Mbowe, Michango inachangishwa kwa Wananchi Hakuna mrejesho watu wanapiga pene.

NB: Upinzani wa nyie ni wa kutaka kujionesha kwa Wakoloni ili wakikuona wakununue ili wakutumie kuhujumu Maliasili na uchumi wa nchi kwa Maslahi ya mataifa yao. Mfano Tundu Lissu amelenga kuwasaidia Wakenya wachukue Tanzanite, Ubeligiji - Uchumi wa Burundi na Kongo kusaidia kurudi kwenye milki yao n.k.

Sasa ukiwa na upinzani Mfilisi wa Taifa, Sasa wewe unaona itakuweje na Wananchi wenye akili watawachukuliaje.
Hata MCP ilikuwa mikononi mwa John Tembo,jitahidi kujisomea kabla hauja changia.
Bakili Muluzi na viongozi maarufu walio fuata lilikuwa zao la mbabe John Tembo na kikundi cha umoja wa vijana wa MCP (YP),baada ya kuasi ndio wamefikia hapo walipo.
 
Alimchuuza Mutharika akidhani Wamalawi sawa na Wabongo, Wamalawi waliyakataa matokeo yaliyochakachuliwa, wakazifunga ofisi za tume na funguo kulikabidhi jeshi. Siasa za Malawi watanzania hatuziwezi, Kyle wanasheria wanasimamia sheria tu, wanajeshi hawajihusishi na siasa kanisa na wananchi wanazijua haki zao.
kweri kabisa muntharika akamfukuza army commander-Vincent Nundwe hata na chief justice-Andrew Nyirenda kwakusimamia haki za raia mwisho wa siku Dr laz akashinda wote army commander and chief justice wamerejesha kwenye nafasi zawo Malawians wanajutambua.
 
Kumbuka kwamba chama cha Lazarus Chakwela ndicho chama kilicholeta Uhuru wa taifa hilo kikiongozwa Na Dkt. Banda(hayati).

Chama hicho kilidhoofika kama CCM ilivyokuwa imedhoofika kipindi cha Dkt. Jakaya Kikwete.

Baada ya chama hicho Malawi kudhoofika, Wamalawi walifanya majaribio wakakitoa madarakani kisha wakaona matatizo yameongezeka hivyo wamekirudisha madarakani.

Kwa hiyo chama hicho siyo chama cha upinzani ni chama kikongwe sawa Na CCM.
Acha unafiki wewe it was a grand alliance kwajina ya Tonse Alliance ndani kuna vyama saba including MCP ...musiwe waoga nyie kwanza mabadiriko yakifika yamefika sio kwasababu ya Chadema au chama kingine lakini raia wakawaida tuu.
 
Niko hapa nikiendelea kukusanya viashiria vyovyote kuwa vyombo muhimu vya nchi vimekubali mabadiliko yanayoenda kutokea katika Uchaguzi Huu.

Nimekaa nikatafakari. Waliomshauri Magufuli amualike huyo Rais wa Malawi huku wakijua kuwa ni Rais aliyetokea kwenye chama cha upinzani walikuwa wanataka kutuma ujumbe gani?

Je, hawakufikiria uwepo wake unatuma ‘mixed messages’ kwetu ukilizingatia CCM bado wanadai kuchagua upinzani ni kuleta vita au kuuza nchi?

Je, kuna vita yoyote huko Malawi toka huyu bwana ashinde uchaguzi hivi majuzi?
Hatari tupu mkuu
 
Niko hapa nikiendelea kukusanya viashiria vyovyote kuwa vyombo muhimu vya nchi vimekubali mabadiliko yanayoenda kutokea katika Uchaguzi Huu.

Nimekaa nikatafakari. Waliomshauri Magufuli amualike huyo Rais wa Malawi huku wakijua kuwa ni Rais aliyetokea kwenye chama cha upinzani walikuwa wanataka kutuma ujumbe gani?

Je, hawakufikiria uwepo wake unatuma ‘mixed messages’ kwetu ukilizingatia CCM bado wanadai kuchagua upinzani ni kuleta vita au kuuza nchi?

Je, kuna vita yoyote huko Malawi toka huyu bwana ashinde uchaguzi hivi majuzi?
Inaonekana hujui vizuri historia ya Malawi.
Dr Chakwera ni kiongozi wa MDC ambacho ndio chama cha Hayati Kamuzu Banda, chama tawala cha zamani kabla ya kushindwa na upinzani, sasa Dr Chakwera amekirudisha tena madarakani.
 
Acha uongo, nchi za African hakuna mpinzani anakua mzalendo kwa hao mnawaita mabeberu,
Ni upinzani gani Africa uliweza kuingia mikataba ya hovyo kama alivyoingia Magufuli na Acacia? Ni mpinzani gani ambaye ameomba asaidiwe madawa, kondomu, kujengewa vyoo, Kuingia mikataba ya kununua Ndege kwa siri bila kuwambia raia wake ka Magufuli?
Shida nyie wenye maslahi na utawala wa Dkt. Magufuli mnatetea maslahi yenu kwa kupotosha Umma.
Bro Amka Kumekuchaa Hahaha utakuwa unaotaa hahaha
 
Niko hapa nikiendelea kukusanya viashiria vyovyote kuwa vyombo muhimu vya nchi vimekubali mabadiliko yanayoenda kutokea katika Uchaguzi Huu.

Nimekaa nikatafakari. Waliomshauri Magufuli amualike huyo Rais wa Malawi huku wakijua kuwa ni Rais aliyetokea kwenye chama cha upinzani walikuwa wanataka kutuma ujumbe gani?

Je, hawakufikiria uwepo wake unatuma ‘mixed messages’ kwetu ukilizingatia CCM bado wanadai kuchagua upinzani ni kuleta vita au kuuza nchi?

Je, kuna vita yoyote huko Malawi toka huyu bwana ashinde uchaguzi hivi majuzi?

MCP ndio chama kilichotawala muda mrefu Malawi kuliko vingine vyote. Ni chama cha aliyekuwa Rais wa kwanza wa malawi, Hasting Kamuzu Banda. Sasa waliopewa madaraka kwa muda yakawashinda wamewarudishia wenyewe.
Unaposema upinzani, hebu kuwa makini kidogo.....
 
Inaonekana hujui vizuri historia ya Malawi.
Dr Chakwera ni kiongozi wa MDC ambacho ndio chama cha Hayati Kamuzu Banda, chama tawala cha zamani kabla ya kushindwa na upinzani, sasa Dr Chakwera amekirudisha tena madarakani.
Malawi Congress Party...chama cha kwanza kutawala malawi huru. Hawa wengine walipopewa dola, wakaendekeza rushwa. Wamefika wapi???
 
Back
Top Bottom