malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habari wakuu,
Nauliza ulaji wa mara kwa mara mahindi ya kuchoma. Je nisalama kwa afya juu
Nauliza ulaji wa mara kwa mara mahindi ya kuchoma. Je nisalama kwa afya juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoto zako wamekulia kwenye magorofa.Tuliwahi kupita yanachomwa sehem, wanangu wadogo wakaniuliza eti hizo ni nini...??
Nikawaambia ni keki toleo jipya, nikaona wasintanie nikanunua kama mahindi sita ambayo hayaja chomwa kesho yake nikaamrisha yachemshwe ndio iwe kitafunio cha chai...🤣
Sasa cha ajabu, wakayapenda wakwa wanataka tena...😂
Kuna siku utauliza hv unywaji wa chai una madhara.mzee usiwaze kuhusu maisha utakonda bure.kula kunywa upendacho,ondoa stress.upendo uwe ni wimbo wako hakikà utaenjoy life.Habar wakuu nauliza ulaji wa mara kwa mara mahind ya kuchoma je nisalama kwa afya juu
Mkuu hao watoto wamekulia Ulaya wasio jua au kuona mahindi ya kuchoma? Kwasabb hapa Dar kila sehemu wachoma mahindi wapo hata UzunguniTuliwahi kupita yanachomwa sehem, wanangu wadogo wakaniuliza eti hizo ni nini...??
Nikawaambia ni keki toleo jipya, nikaona wasintanie nikanunua kama mahindi sita ambayo hayaja chomwa kesho yake nikaamrisha yachemshwe ndio iwe kitafunio cha chai...[emoji1787]
Sasa cha ajabu, wakayapenda wakwa wanataka tena...[emoji23]
Mkuu wangine tayar tunamagonjwa makubwaKuna siku utauliza hv unywaji wa chai una madhara.mzee usiwaze kuhusu maisha utakonda bure.kula kunywa upendacho,ondoa stress.upendo uwe ni wimbo wako hakikà utaenjoy life.
Bila shaka wewe ni mtu wa DarHabar wakuu nauliza ulaji wa mara kwa mara mahind ya kuchoma je nisalama kwa afya juu
Leta kitu uhakika na si nadharia wee...zile chuma wanazochomea zile,
kama sijakosea zisiposafishwa mara kwa mara zinakuwa si salama
sijui ni kutu ama nini
DR Mambo Jambo
Asipoangalia watakuwa wajinga wajinga.Watoto zako wamekulia kwenye magorofa.
JF bhana, aya nshomile umeshaonekana.Tuliwahi kupita yanachomwa sehem, wanangu wadogo wakaniuliza eti hizo ni nini...??
Nikawaambia ni keki toleo jipya, nikaona wasintanie nikanunua kama mahindi sita ambayo hayaja chomwa kesho yake nikaamrisha yachemshwe ndio iwe kitafunio cha chai...[emoji1787]
Sasa cha ajabu, wakayapenda wakwa wanataka tena...[emoji23]
Huwa nikimuona mtu anashikashika mahindi sinunui tena na namsomea muuzaji.inafikirisha. unasabababu ya kwanini umeuliza mpaka hapo, mahindi pekee na si viazu au mihogo ya kuchoma?
tule jamani zaidi huwa yanashikwa shikwa kupata laini ama gumu kwa wengne(hapa huwa wananiacha hoi, maana kuna wengne wanashka na vimavi mavi vyao tunawastahi tu [emoji848]