cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Bora Mdojolela hujataja.Mahindi na products zake kama Makande, Uji, Ugali, Mahindi ya Kuchoma, Bisi nk ni vyakula duni kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora Mdojolela hujataja.Mahindi na products zake kama Makande, Uji, Ugali, Mahindi ya Kuchoma, Bisi nk ni vyakula duni kabisa.
Hata Ulaya watu wanachoma mahindiMkuu hao watoto wamekulia Ulaya wasio jua au kuona mahindi ya kuchoma? Kwasabb hapa Dar kila sehemu wachoma mahindi wapo hata Uzunguni
Hakuna tatizoUkiwa Mtu wa kuhoji hoji na kuuliza maswali ipo siku utauliza Hivi kumeza mate ni sahihi? Hayana sumu?
Shida ni haya ya sasa hivi yanayolimwa kwa kumwagiliwa yanapigwa dawa za kemikali sanaToka enzi za mababu wanayala , mbona fresh tu.
Kwani Proffessor Janabi anasemaje ?Habari wakuu,
Nauliza ulaji wa mara kwa mara mahindi ya kuchoma. Je nisalama kwa afya juu
Tafuta hela mkuu...😂Watoto wa maghorofani hawajui mambo ya kiasili, wengi wao Ni maisha ya ki-artificial. Hawawezi kutamka mama (wao husema mummy), hawawezi kutamka Baba (wao husema daddy).
Nakupongeza Sana "daddy Ushimen " kwa maisha ya ki-artificial kwa watoto zako.
Habari wakuu,
Nauliza ulaji wa mara kwa mara mahindi ya kuchoma. Je nisalama kwa afya juu
Janabi Leo anachoma nyama,anadanganya wengine wasile nyama chomaKwani Proffessor Janabi anasemaje ?
Tutafute Pesa lakini pia tusiache asili zetu.Tafuta hela mkuu...😂
Utunzaji wa fedha una madhara yoyote kimaisha?Kuna siku utauliza hv unywaji wa chai una madhara.mzee usiwaze kuhusu maisha utakonda bure.kula kunywa upendacho,ondoa stress.upendo uwe ni wimbo wako hakikà utaenjoy life.
Ukiangalia picha hiyo wapo kwenye hafla fulani wala hatujaona Janabi akila nyama.Janabi Leo anachoma nyama,anadanganya wengine wasile nyama choma
Mie kwangu baba yao huwa anayanunua mara kwa maraTuliwahi kupita yanachomwa sehem, wanangu wadogo wakaniuliza eti hizo ni nini?
Nikawaambia ni keki toleo jipya, nikaona wasintanie nikanunua kama mahindi sita ambayo hayaja chomwa kesho yake nikaamrisha yachemshwe ndio iwe kitafunio cha chai...🤣
Sasa cha ajabu, wakayapenda wakawa wanataka tena...😂
Ukienda Hotel kubwa mara nyingi unakuta wameyapika namna tofauti tofauti. Utakuta salad ina mahindi, wali una mahindi, kuna mahindi yamechemshwa yamekatwa vipande vdgvdg. Hii km chakula duni kwa nini mahotel wanapenda kuweka kwenye menu zao?Mahindi na products zake kama Makande, Uji, Ugali, Mahindi ya Kuchoma, Bisi nk ni vyakula duni kabisa.
Vp kuhusu constipation?Yeah ni kweli..
Ila Hazina tatizo we Kula Mahindi safi kabisa hayo..
Hizo zingine ni minor issue tu
Ulaya sn wanachemshaHata Ulaya watu wanachoma mahindi
Constipation Inasababishwa Na Mahindi?????Vp kuhusu constipation?