Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Itakuwa si mara ya kwanza, hawa jamaa wanatakiwa washuke ili wajipange upyaHali inazidi kuwa mbaya kwa Man U Kila Leo. Hata mechi inayo fuata na Everton Man u wanaweza kufungwa pia.
Mpaka najiuliza hivi Ferguson alikuwaga anawapa nini marefa?
Kuna ile kauli kwamba wote tulizaliwa tukiwa mashabiki wa Manchester kwanza😃😃Man United ndio dunia ya mchezo wa mpira wa miguu , hata wanaoonyesha mipira kwenye mabanda ya michezo wanatamani man United irudi kwenye ubora wake , wewe jiulize kwa nini imefulia lakini bado mashabik wa arsenal liva, City, Tottenham, Chelsea wanavita nayo na sio wao kwa wao ambao wanashindana kwenye makombe🤔
Kabisa kila mtu ni Manchester sema mateso ya toka 2012 yamewakimbiza wengi ila bado wanaitazama kwa maumivu ya ndani kwa ndani # viva the red devil 🥰Kuna ile kauli kwamba wote tulizaliwa tukiwa mashabiki wa Manchester kwanza😃😃
Harafu ni kitu gani bwashee?Washuke harafu wakutane na wakina Leeds championship tuone mziki wao
HaiwezekaniHali inazidi kuwa mbaya kwa Man U Kila Leo. Hata mechi inayo fuata na Everton Man u wanaweza kufungwa pia.
Mpaka najiuliza hivi Ferguson alikuwaga anawapa nini marefa?
Viva vivaKabisa kila mtu ni Manchester sema mateso ya toka 2012 yamewakimbiza wengi ila bado wanaitazama kwa maumivu ya ndani kwa ndani # viva the red devil 🥰
We came up in Manchester, we gon’ die in Manchester .Viva viva
Sure , champions itageuka mashindano pendwa duniani una akili sana wewe.man u ikishuka,
championship itapata attention zaidi ya kufuatiliwa
Kipindi kile Ferg alikua na strong team pia alikua ni mzee mwenye kutengeneza nidhamu KAZINI MPAKA LEO hicho kimeshindikana kabisa for years..Hali inazidi kuwa mbaya kwa Man U Kila Leo. Hata mechi inayo fuata na Everton Man u wanaweza kufungwa pia.
Mpaka najiuliza hivi Ferguson alikuwaga anawapa nini marefa?
Hali inazidi kuwa mbaya kwa Man U Kila Leo. Hata mechi inayo fuata na Everton Man u wanaweza kufungwa pia.
Mpaka najiuliza hivi Ferguson alikuwaga anawapa nini marefa?
Umetumwa wewe 😜😜Kipindi kile Ferg alikua na strong team pia alikua ni mzee mwenye kutengeneza nidhamu KAZINI MPAKA LEO hicho kimeshindikana kabisa for years..
Pia Ferg alikua na strong scouting aliweza kuibua nyota wengi na kuwapandisha thamani ambapo pale man u kitu ambacho kwa Sasa kimeshindikana kabisa kabisa.
Manchester united B ilikua Kama kiwanda tanuru lililo weza kuwivisha wachezaji mahiri kwa uchache phill neville na grey Neville, Wes brow, David Beckham, schoolers n.k wapo wengi na wengine waliuzwa vilabu vingine kitu ambacho Sasa hakifanyiki..
Man u ya mwisho ilikua 2009 kurudi nyuma saivi ni Maumivu timu imepoteana sanaa
Watoto wadogo tu ndio hawawezi kuelewa hii kitu. Hata Dstv wanatamani Man u ianze kufanya vizuri ili subscriber waongezekeMan United ndio dunia ya mchezo wa mpira wa miguu , hata wanaoonyesha mipira kwenye mabanda ya michezo wanatamani man United irudi kwenye ubora wake , wewe jiulize kwa nini imefulia lakini bado mashabik wa arsenal liva, City, Tottenham, Chelsea wanavita nayo na sio wao kwa wao ambao wanashindana kwenye makombe🤔
Kwanini mkuu unasema hivyo☺️😊Umetumwa wewe 😜😜
Hawa madogo wa alfu mbili sijui kama wana ubongo hata🤔Watoto wadogo tu ndio hawawezi kuelewa hii kitu. Hata Dstv wanatamani Man u ianze kufanya vizuri ili subscriber waongezeke