Je Man U kushuka daraja mwaka huu?

Je Man U kushuka daraja mwaka huu?

Mimi ni shabiki Lia Lia wa united, wengi tatizo wasilolijua ni kwamba United ipo mahali ilipo kwasababu ya collective mistakes zilizokuwa zinafanyika Kila msimu na management baada ya fergi kuondoka. Ni kama maradhi huanza na upele usipochukulia serious basi linakuja jipu halafu baadae donda kubwa then donda linasambaa halafu wadudu huanza kutoka. United ilikuwa si timu ya kuwa na average players na wale wastaafu, imagine 70's pound million Kwa casemiro? It was insane. 80's million pound Kwa anthony,? Then Yuko wapi now?. Maguire naye pesa zote zile then?, Yuko tu anazeeka pale pale akiwa na makosa kibao na signings kibao zisizofaa tumefanya, mgt ilikosa vision kabisa wakawa wanadili na stocks zao huko USA.

Sasa hivi Kila kitu kinaonekana wazi kabisa, Kila mahali kunavuja. Hivyo basi Sasa hivi ni wakati wa kusurvive tu basiiii, wakati huu si kwaajili ya kushindana kabisa, ni aidha tusishuke daraja tu basi. Lazima jitihada za makusudi zifanyike msimu ujao la sivyo utakuwa ni upuuzi kufukuzana Kila siku Kwa makosa ya mgt.
 
Msimu huu sio rahisi kushuka ila msimu ujao wakiendelea na hao makocha wa kufundisha academy za mpira watashuka
 
Toka man imeshuka hata mvuto wa epl nao umeshuka pakubwa.
Imesaidia pia kupandisha chat ligi ya bongo. Kelele za mashabiki wa man utd kama timu yao ingekua inafanya vizuri basi yanga na simba wasingepata platform kubwa kama wanayoipata sasa hivi.
 
Imesaidia pia kupandisha chat ligi ya bongo. Kelele za mashabiki wa man utd kama timu yao ingekua inafanya vizuri basi yanga na simba wasingepata platform kubwa kama wanayoipata sasa hivi.
Sure bro
 
Mimi ni shabiki Lia Lia wa united, wengi tatizo wasilolijua ni kwamba United ipo mahali ilipo kwasababu ya collective mistakes zilizokuwa zinafanyika Kila msimu na management baada ya fergi kuondoka. Ni kama maradhi huanza na upele usipochukulia serious basi linakuja jipu halafu baadae donda kubwa then donda linasambaa halafu wadudu huanza kutoka. United ilikuwa si timu ya kuwa na average players na wale wastaafu, imagine 70's pound million Kwa casemiro? It was insane. 80's million pound Kwa anthony,? Then Yuko wapi now?. Maguire naye pesa zote zile then?, Yuko tu anazeeka pale pale akiwa na makosa kibao na signings kibao zisizofaa tumefanya, mgt ilikosa vision kabisa wakawa wanadili na stocks zao huko USA.

Sasa hivi Kila kitu kinaonekana wazi kabisa, Kila mahali kunavuja. Hivyo basi Sasa hivi ni wakati wa kusurvive tu basiiii, wakati huu si kwaajili ya kushindana kabisa, ni aidha tusishuke daraja tu basi. Lazima jitihada za makusudi zifanyike msimu ujao la sivyo utakuwa ni upuuzi kufukuzana Kila siku Kwa makosa ya mgt.
Babu fagason pia alizingua kwanza aliondoka ghafla sana kumbuka kuna wachezaji ambao walienda man u kwa ushawishi wake mfano van perse pia kuna ambao kwenye senior career yao hawamjui kocha mwingine zaidi ya babu mfano wale mapacha wa kibrazil fabio na rafael. Hawa ilikua lazima ufanisi wao uyumbe.

Pia mzee hakuandaa kizazi kijacho baada ya yeye kuondoka. Wachezaji aliowaacha wengi umri ulikua umeend walikua wamebakisha mwaka mmoja au miwili ya ubora wao mfano giggs, ferdinand, vidic, evra, van perse, carrick n.k

Huku kwenye usajiri kosa kubwa sana lilifanywa na bwana woodward kumsajiri pogba na kujitamba pesa ipo. Kuanzia pale bei za wachezaji zilikua over-priced. Sasa hivi sokoni ni kama kuna bei maalumu kwa ajiri ya man utd, kitu ambacho kinawatesa sana, maana wakimtaka tu mchezaji wanapandishiwa bei.

Nafikiri kitakachowanasua na hili janga la kutajiwa bei kubwa ni kuwekeza nguvu kwenye kukuza vipaji uko academic. Wazunguke ulaya, afrika na amerika kusini kutafuta madogo kama wakina Obi kwa ajiri ya miaka mitatu mbele huku kwenye timu ya wakubwa wapambane ku-surivive tu
 
Back
Top Bottom