Je, Man united kucheza UEFA Champions League endapo itatwaa kombe la Europa?

Ww na ww unajua ulichoongea hapo
Au unaota tu ndoto zako za kitanda
Kashabikie gof achana na football
 
Kumbe wewe hujui mpira ee? REAL MADRID, BARCELONA, ATLETICO, SEVILLA, VILLAREAL(play-off)
Nmekupata hapo sikumkumbka villa, nmeelewa pia, bt mpira naujua nikurekebishe kdgo lkn sikuwa na uelewa juu ya hyo sheria ya uefa
 
Atletico madrid
 
Uko sahihi mzee na wamepitia kanuni upya manake kuna kipindi chelsea likua bingwa wa uefa akatolewa akaenda europa akaibeba halafu alieshika nafas ya nne england akashundwa kwenda uefa so wakafanya mabadiliko
 
Mkuu labda unisaidie maana ni kma nliskia maximu number ya ligi kupeleka timu ligi ya mabingwa ni 5!!! Ama hyo sheria ipo applicable kwa ligi ya hispania pekeee maana ilipeleka 5 msimu huu
 
Msijifanye vichaa humu ndani... Man Utd akishinda anaenda UCL, na timu zote za big four zinaenda pia, kwaiyo zitaenda timu tano
Ila jamani kwa kikosi kile Man U akiingia nacho Uefa ni majanga , striker Rashford !
 
Ukisoma comments za watu wengi,unagundua tofauti zetu kwenye kuelewa mambo km sio lugha iliyoletwa na meli
 
Ila jamani kwa kikosi kile Man U akiingia nacho Uefa ni majanga , striker Rashford !
Mkuu omba tufuzu UCL, itakua ni balaa... Imetengwa pesa ya kutengeneza timu ya kubeba EUFA na sio kwenda kushiriki... Glazers family hawataki ujinga
 
Hizo ni tetesi. Habari ni kwamba atashiriki
 
Soccer la uingereza limepooza baada ya man u kupoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…