usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Ww na ww unajua ulichoongea hapoUnafuatilia mpira au unasimuliwa.. Chelsea alipochukua ubingwa UEFA kwani alikuwa nafasi ya ngapi ktk ligi?? Hata alipochukua EUROPA alikuwa top 4.. bt kisheria timu yoyote ikiwa bigwa wa EUROPA hushiriki UEFA CHAMPS LG.. then mshindi wa nne upelekwa EUROPA ikiwa timu iliyoshinda haipo top 4...
Au unaota tu ndoto zako za kitanda
Kashabikie gof achana na football