inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kuna malaika Israel kwenye QUR'ANUnamfanya Muhammad kuiba jina Israel alikuwa hajui maana yake , Yani Kali copy tu kapachika kwenye Koran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna malaika Israel kwenye QUR'ANUnamfanya Muhammad kuiba jina Israel alikuwa hajui maana yake , Yani Kali copy tu kapachika kwenye Koran
🚮🚮🚮🚮.Unaonekana kichaa kusema ulimwengu na walimwengu hakuna aliyeviumba
Kuna jina Israel kwenye Koran , Muhammad alilitoa wapi na alijua maana yake ?Kuna malaika Israel kwenye QUR'AN
SawaMuhammad (s.a.w) alikuja kama mtume wa ulimwengu mzima mantiki hiyo injili, zaburi, torat na suhufi zisingeweza kufanya kazi mbele ya qur-an.
Uwepo wa injili na vitabu vingne ndani ya qur-an ni kwa lengo la historia kwa yale yaliyokuwepo kabla ya umma wa Mohammad (s.a.w).Mungu hakushindwa kuvilinda hivyo vitabu visiharibiwe sabab ni kuwa HIVYO VITABU VILITUMWA KWA MUDA MAALUMU NA BAADA YA HUO MUDA VINABAKI HISTORIA TU.
NOTE:HIVYO VITABU KWENYE QUR-AN HAVINA KAZI YOYOTE ZAIDI YA HISTORIA
Asante kwa mchangoHuwezi kuelewa sabab unaleta ujuaji wa ajabu.
Sawa japo mchango unamapungufu mengi na mengine sijafafanuliwa.Ndugu yangu wewe unaonekana ni muelewa hebu fanya uchunguzi kwa nini Mtume huyo mmoja ameandikwa tofauti katika Quran na kwenye Biblia. Fanya hivi kabla ya kufanya utafiti muombe Mwenyezi Mungu akuonyeshe ukweli ni upi ikiwa ni katika Quran au katika Biblia.
Quran ilichofanya ni kusahihisha makosa yaliyofanywa na waandishi waliobadilisha na kuweka mambo mapya katika kitabu cha Injili, mfano kwa kusema Yesu/Issa ni Mungu au ni mwana wa Mungu. Quran imesema wazi wazi kuwa Mwenyezi Mungu hana mwana wala hakuna Mungu mwingine isipokuwa Mungu mmoja tu.
Kwa hivyo Quran imeshahihisha palipokosewa au palipoharibiwa katika vitabu vya zamani na kueleza njia sahihi ni ipi.
Kwa uzi huu, naishia hapa. Maana nilichokuwa nakitafuta na kutaka kukithibitisha nimeshakipata. Kila uzi muanzishaji huwa anakusudio.Asante mkuu, nilichotaka hasa nikujua uthabiti wa Imani yako juu ya huyu kiongozi wetu,kwakua huna shaka kuwa Yesu wa biblia ndie huyohuyo ISSA wa qur-an basi nami naungana nawe katika kutafuta majibu ya mawsali yako kwakua naamini hujui na una nia yakweli yakujifunza na bila shaka utakuwa muelewa kwa namna utakavyojibiwa na wale wenye ufahamu zaidi juu ya hoja zako.
Muulize mleta madaNa biblia ipi hiyo yenye vitabu 72 au 66 au ipi mzee
Unaweza kuleta historia ya yesu kweny Qur an na bible ikawa zinafanana...Kwanza kweny Qur an kuna issah .1: Sijasema, simeuliza mkuu ili kukupa uwanja wa kufafanusha.
2: Imemtaja Yesu ba mama Yake au Isa ambaye hayumo kenye taurat ila yumo kwenye vitabu vinne vya INJILI na nyaraka za mitume wake.
Hii inajumuisha makusanyo yote.
Karibu sheikh
Wewe jina Nyerere unalijua maana yake!?..ukilitumia pahali watu wanapaswa kuhiji ulikolitoa na maana yake!?Kuna jina Israel kwenye Koran , Muhammad alilitoa wapi na alijua maana yake ?
Usikate tamaa unapotaka kujifunza kitu, iko hivi Mwenyezi Mungu ameilinda Quran isiharibiwe na watu kwa sababu Muhammad ni Mtume wa mwisho, yaani hakuna tena Mtume mwingine atakayekuja baada ya Muhammad mpaka mwisho wa dunia. Kwa hivyo Mwenyezi Mungu ameahidi kuilinda Quran isiharibiwe na wanaadamu ili vizazi vyote vitakavyokuja vikute ujumbe ule upo vile vile bila kuharibiwa.Sawa japo mchango unamapungufu mengi na mengine sijafafanuliwa.
Mfano quran itafanyaje masahihisho wakati hadi sasa hakuna ushahidi wa mtume au muislam yoyote aliyewahi kuiona hiyo injili Og. Pili Allah gani mwenye uwezo wa kulinda maandiko ya waarabu ashindwe ya wayahudi ya injili ya Issa aliohangaika nao miaka yote.
Ndio maana nashauri tuishie hapo.
ALAH alishusha vitabu 4.Kati ya Biblia na Quran ipi iliyoanza?
Tuseme Allah naye alicopy maandiko ya kwenye Torati, Zaburi na Injili?
Wewe jamaa huna akili kabisa itoshe tu kusema wewe ni taahira hii text inasadifu upumbavu wako nakupa pole sanaALAH alishusha vitabu 4.
TORATI-- --MUSA
ZABURI --DAUDI.
INJILI--ISSA(YESU)
FURQAN --MUHAMAMAD(SAW).
Tofauti ya ukiristo na uislam Ni vitu 2 tu.
--YESU sio MINGU.
--YESU hakusulubiwa msalabani.
--ALAH(MUNGU) --Hana mtoto,,Hana mke,wala hakuzaa wala hakuzaliwa.
Ukiangalia mengine yote yanafanana.
Hata YESU pia alisema kwenye INJILI KWAMBA,,,,
SIKUJA KUTENGUA TORATI BALI KUITIMILIZA.
means MUNGU huyo huyo wa MUSA ndy wa YESU,
MUNGU wa MUSA ndy MUNGU wa MUHAMMAD (SAW).
amri Kumi ya TORATI ya MUSA ndy amri Kumi za MUNGU WA MUHAMMAD..
DINI Ni moja Ila imeingiliwa na binadamu wakaichafua ndy utofauti wa uislam na ukristo..
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Kusema Yesu hakusurubiwa wewe ni mjinga kuliko ujinga wenyeweALAH alishusha vitabu 4.
TORATI-- --MUSA
ZABURI --DAUDI.
INJILI--ISSA(YESU)
FURQAN --MUHAMAMAD(SAW).
Tofauti ya ukiristo na uislam Ni vitu 2 tu.
--YESU sio MINGU.
--YESU hakusulubiwa msalabani.
--ALAH(MUNGU) --Hana mtoto,,Hana mke,wala hakuzaa wala hakuzaliwa.
Ukiangalia mengine yote yanafanana.
Hata YESU pia alisema kwenye INJILI KWAMBA,,,,
SIKUJA KUTENGUA TORATI BALI KUITIMILIZA.
means MUNGU huyo huyo wa MUSA ndy wa YESU,
MUNGU wa MUSA ndy MUNGU wa MUHAMMAD (SAW).
amri Kumi ya TORATI ya MUSA ndy amri Kumi za MUNGU WA MUHAMMAD..
DINI Ni moja Ila imeingiliwa na binadamu wakaichafua ndy utofauti wa uislam na ukristo..
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Ukweli lazima usemwe.Wewe jamaa huna akili kabisa itoshe tu kusema wewe ni taahira hii text inasadifu upumbavu wako nakupa pole sana
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Wewe unanuka mavi mjinga wewe huwezi kukataa ukuu wa Yesu mbwa weweALAH alishusha vitabu 4.
TORATI-- --MUSA
ZABURI --DAUDI.
INJILI--ISSA(YESU)
FURQAN --MUHAMAMAD(SAW).
Tofauti ya ukiristo na uislam Ni vitu 2 tu.
--YESU sio MINGU.
--YESU hakusulubiwa msalabani.
--ALAH(MUNGU) --Hana mtoto,,Hana mke,wala hakuzaa wala hakuzaliwa.
Ukiangalia mengine yote yanafanana.
Hata YESU pia alisema kwenye INJILI KWAMBA,,,,
SIKUJA KUTENGUA TORATI BALI KUITIMILIZA.
means MUNGU huyo huyo wa MUSA ndy wa YESU,
MUNGU wa MUSA ndy MUNGU wa MUHAMMAD (SAW).
amri Kumi ya TORATI ya MUSA ndy amri Kumi za MUNGU WA MUHAMMAD..
DINI Ni moja Ila imeingiliwa na binadamu wakaichafua ndy utofauti wa uislam na ukristo..
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Unastahiri kusamehewaUkweli lazima usemwe.
Hivi wewe unaamini kweli YESU Ni MUNGU?
Kwahyo YESU alipokuwa anapigwa makofi msalabani unaamini MUNGU ndy alikuwa anapigwa makofi na binadamu?
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Kwahyo Yule MUNGU wa MUSA aliyeachanisha Bahari na kupita Katikati ya maji ndy Yule aliyepigwa makofi na wayahudi msalabani?Kusema Yesu hakusurubiwa wewe ni mjinga kuliko ujinga wenyewe
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ndy maana mnanunuwa kijiko cha mchanga/maji/mafuta wa upako kwa mitume .Wewe unanuka mavi mjinga wewe huwezi kukataa ukuu wa Yesu mbwa wewe
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Basi usirudie tena kumdhalilisha pedophile MuhammadWewe jina Nyerere unalijua maana yake!?..ukilitumia pahali watu wanapaswa kuhiji ulikolitoa na maana yake!?