Je, maneno na watu wa kibiblia kwenye Qurani ni Copypaste za kwenye Biblia?

Je, maneno na watu wa kibiblia kwenye Qurani ni Copypaste za kwenye Biblia?

YHWH ni Mungu wa wayahudi,Ibrahim hakuwa myahudi
Kutoka 3:4-6,13-14
[4]BWANA alipoona ya kuwa amegeuka ili atazame, Mungu akamwita kutoka katikati ya kile kijiti, akasema, Musa! Musa! Akasema, Mimi hapa.
And when the LORD saw that he turned aside to see, God called unto him out of the midst of the bush, and said, Moses, Moses. And he said, Here am I.
[5]Naye akasema, Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu.
And he said, Draw not nigh hither: put off thy shoes from off thy feet, for the place whereon thou standest is holy ground.
[6]Tena akasema, Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo. Musa akaficha uso wake; kwa maana aliogopa kumwangalia Mungu.
Moreover he said, I am the God of thy father, the God of Abraham, the God of Isaac, and the God of Jacob. And Moses hid his face; for he was afraid to look upon God.
[13]Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini?
And Moses said unto God, Behold, when I come unto the children of Israel, and shall say unto them, The God of your fathers hath sent me unto you; and they shall say to me, What is his name? what shall I say unto them?
[14]Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO(YHWH);
akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO(YHWH)
amenituma kwenu.
And God said unto Moses, I AM THAT I AM(YHWH): and he said, Thus shalt thou say unto the children of Israel, I AM(YHWH) hath sent me unto you.
 
Injili ni ya issa a.s, Muhammad saw yake ni Qur'an,Dawood ni zaburi,huwezi sema injili ya Dawood...issa a.s na injili yake ilikua kwa ajili ya Wana wa Israel Kama Qur'an inavyosema na yesu mwenyewe 'sikutumwa Ila kwa kondoo waliopotea wa Israel'....'je waweza chukua chakula Cha watoto na kumpa mbwa'.... Allah sw hakuamua tu vitabu vyake vya nyuma vitiwe mikono Bali aliacha pia hata manabii wake wakauawa,anafanya atakavyo,hakuna wa kumpangia
Unaweza kutaja tarehe ya mwisho wa injili ya Issa kwa wayahudi. Maana wayahudi bado wapo. Kwa nini waarabu wanaambiwa waviamini vitabu ikiwemo hiyo ijili ya Issa ambayo haiwahusu. Allah aliruhusu vipi wayahudi waharibu injili aliyoituma kwao. Kwa nini asingetumiq mbinu alizotumia huitunza quran ili wayahudi wapya wanaozaliwa wanufaike na injili yao.

Masimulizi ya kiislam yanayofundisha hivi, hili yanalizungumziaje.

Karibu.
 
Kutoka 3:4-6,13-14
[4]BWANA alipoona ya kuwa amegeuka ili atazame, Mungu akamwita kutoka katikati ya kile kijiti, akasema, Musa! Musa! Akasema, Mimi hapa.
And when the LORD saw that he turned aside to see, God called unto him out of the midst of the bush, and said, Moses, Moses. And he said, Here am I.
[5]Naye akasema, Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu.
And he said, Draw not nigh hither: put off thy shoes from off thy feet, for the place whereon thou standest is holy ground.
[6]Tena akasema, Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo. Musa akaficha uso wake; kwa maana aliogopa kumwangalia Mungu.
Moreover he said, I am the God of thy father, the God of Abraham, the God of Isaac, and the God of Jacob. And Moses hid his face; for he was afraid to look upon God.
[13]Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini?
And Moses said unto God, Behold, when I come unto the children of Israel, and shall say unto them, The God of your fathers hath sent me unto you; and they shall say to me, What is his name? what shall I say unto them?
[14]Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO(YHWH);
akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO(YHWH)
amenituma kwenu.
And God said unto Moses, I AM THAT I AM(YHWH): and he said, Thus shalt thou say unto the children of Israel, I AM(YHWH) hath sent me unto you.
inamankusweke naona YHWH anajitambulisha kwa Musa kama Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo hapa.
 
Nasoma biblia ya kiswahili( suv).
Ninasoma Msaafu wa kiswahili (Tafsiri ya barwan)

Tafsiri au matoleo mengine yote ya biblia na quran kwa lugha zozote zile huwa natumia kama reference ili kutanua ufahamu.

Ila tukirudi kwenye mada. Visa na majina yanayozungumziwa yanapatikana katika version na tafsiri zote za biblia na quran.

Karibu sana mkuu.
Safi sana, katika "Version" unazosoma za Biblia, ndizo zipo kwa lugha zilizotumika wakati wa Yesu? Au Yesu hahusiki kabisa na Biblia?
 
Safi sana, katika "Version" unazosoma za Biblia, ndizo zipo kwa lugha zilizotumika wakati wa Yesu? Au Yesu hahusiki kabisa na Biblia?
moenz FaizaFoxy naomba unifafanulia quruani tukufu kwa kiswahili ukianza na ile surutal jinni afu nimalizie na sura ng'ombe asante mpenz
 
Jibu swali Jesuit imeanzishwa lini na mtume kafariki lini!?..si mnadai Jesuit ndiyo wameunda uislam..msivyo na akili ya kutafakari hamjiulizi mbona katoliki wenyewe wanahaha kuua uislam,na huo uislam mbona kiitikadi unapinga kabisa ukiristo na kutoa kasoro!?
Hii hoja hata mimi nimempinga.
Jesuits imeanzishwa na Inigo Lopez aliyezaliwa 1491. Wakati story za Uislam zinaaza miqka ya 600.

Hata hivyo hiyo nadhariq huwa haisemi uislam umeanzizwa na majesuiti. Bali ni Jesuit ndiye anasema walifundishwa na kusoma kwenye vitabu huko rumi kuwa hiuo ndio sababu ya uislma kuanzishwa na wakatoriki. Sababu hazina mashiko.
 
Kutoka 3:4-6,13-14
[4]BWANA alipoona ya kuwa amegeuka ili atazame, Mungu akamwita kutoka katikati ya kile kijiti, akasema, Musa! Musa! Akasema, Mimi hapa.
And when the LORD saw that he turned aside to see, God called unto him out of the midst of the bush, and said, Moses, Moses. And he said, Here am I.
[5]Naye akasema, Usikaribie hapa; vua viatu vyako miguuni mwako; maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu.
And he said, Draw not nigh hither: put off thy shoes from off thy feet, for the place whereon thou standest is holy ground.
[6]Tena akasema, Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo. Musa akaficha uso wake; kwa maana aliogopa kumwangalia Mungu.
Moreover he said, I am the God of thy father, the God of Abraham, the God of Isaac, and the God of Jacob. And Moses hid his face; for he was afraid to look upon God.
[13]Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini?
And Moses said unto God, Behold, when I come unto the children of Israel, and shall say unto them, The God of your fathers hath sent me unto you; and they shall say to me, What is his name? what shall I say unto them?
[14]Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO(YHWH);
akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO(YHWH)
amenituma kwenu.
And God said unto Moses, I AM THAT I AM(YHWH): and he said, Thus shalt thou say unto the children of Israel, I AM(YHWH) hath sent me unto you.
Ibrahim alikua mwarabu wa Iraq,hakutumia hiyo lugha ya Musa muisrael,so Mungu wa Ibrahim hakumuita YHWH
 
Unaweza kutaja tarehe ya mwisho wa injili ya Issa kwa wayahudi. Maana wayahudi bado wapo. Kwa nini waarabu wanaambiwa waviamini vitabu ikiwemo hiyo ijili ya Issa ambayo haiwahusu. Allah aliruhusu vipi wayahudi waharibu injili aliyoituma kwao. Kwa nini asingetumiq mbinu alizotumia huitunza quran ili wayahudi wapya wanaozaliwa wanufaike na injili yao.

Masimulizi ya kiislam yanayofundisha hivi, hili yanalizungumziaje.

Karibu.
Alipokua Muhammad na ufunuo kwa ajili ya ulimwengu wote,injili kwa wayahudi ilikoma,waislam wanaamini injili,zaburi,taurati ni vitabu vya Allah sw alivyotuma kwa watu kwa wakati wake,suala la kwa nini aliruhusu nilishajibu,ni kama Mungu alivyoruhusu tu wewe uweze kuzini wakati angeweza kukuzuwia,anafanya apendavyo
 
Ibrahim alikua mwarabu wa Iraq,hakutumia hiyo lugha ya Musa muisrael,so Mungu wa Ibrahim hakumuita YHWH
So unataka kusema Mungu wa Musa na Mungu wa Ibrahimu ni tofauti?

Kama ni ndio, basi Mungu wa Musa anaweza kuwa tofauti na Mungu wa Mtume Muhammad (na amani iwe juu yake) kwasababu ya tofauti ya kilugha na matamshi?
 
Safi sana, katika "Version" unazosoma za Biblia, ndizo zipo kwa lugha zilizotumika wakati wa Yesu? Au Yesu hahusiki kabisa na Biblia?
Yap huwa narudi kwenye maana za asili kigiriki na kiebrania ili nielewe kina. Kama ambavyo nafanya kwenye version za quran. Narudi kwenye kiarabu ikiwezekana kiarabu cha kale naangalia tafsiri pana za neno au hoja ninayotaka kuielewa.

Unaweza kujikita kwenye mada sasa.
 
Ibrahimu ni babu wa wayahudi.wayahudi wanamuabudu Mungu aliyabudiwa na babu yao.
Wao wanasema hivyo,hata Kama wanaabudu Mungu wa Ibrahim,Ibrahim hakumuita Mungu wake YHWH,kwa kuwa hiyo lugha ni kiisrael ambacho yeye mwarabu hakukijua maana alikufa kabla hiyo lugha haijazaliwa
 
Alipokua Muhammad na ufunuo kwa ajili ya ulimwengu wote,injili kwa wayahudi ilikoma,waislam wanaamini injili,zaburi,taurati ni vitabu vya Allah sw alivyotuma kwa watu kwa wakati wake,suala la kwa nini aliruhusu nilishajibu,ni kama Mungu alivyoruhusu tu wewe uweze kuzini wakati angeweza kukuzuwia,anafanya apendavyo
Kwa hiyo waarabu kabla ya mohammad au ulimwengu wote haukuwa unatumia nini au ulikuwa unasubiri ujio wa Mohammad.
Je Mohammad aiiona hiyo injili ya Isa aliyokuja au alise.a tu nimeisitisha nimekuja na hoja mpya.
Pia weka aya kwamba mimi mohammad nimekuja kufuta, injili ya issa ila waislam waiamini na waifanye kuwa moja ya nguzo yao.
 
Wao wanasema hivyo,hata Kama wanaabudu Mungu wa Ibrahim,Ibrahim hakumuita Mungu wake YHWH,kwa kuwa hiyo lugha ni kiisrael ambacho yeye mwarabu hakukijua maana alikufa kabla hiyo lugha haijazaliwa
Thibitisha ibrahim alikuwa mwarabu. Maana kama ni hivyo wayahudi ni warabu pia.
 
Ibrahim alikua mwarabu wa Iraq,hakutumia hiyo lugha ya Musa muisrael,so Mungu wa Ibrahim hakumuita YHWH
umesoma kitabu gani kinachosema ibrahim alikuwa mwarabu wa iraq? kipindi cha ibrahim waarabu (watoto wa ishamaeli walikuwepo au) nisaidie reffrence ya quruan uliposoma
 
So unataka kusema Mungu wa Musa na Mungu wa Ibrahimu ni tofauti?

Kama ni ndio, basi Mungu wa Musa anaweza kuwa tofauti na Mungu wa Mtume Muhammad (na amani iwe juu yake) kwasababu ya tofauti ya kilugha na matamshi?
Unamaanisha Musa alimuita Mungu Allah sw!?..ni yuleyule,je walimwitaje kwa lugha zao!?..je tuiamini biblia katika Hilo!?
 
kwa ufupi wayahud walipewa mitume mingi sana.ila waliwakataa na wengine wakawaua.mungu akaamua kuhamisha utume kwa waarabu.ila wote walikuwa wana mtaja mungu mmoja.the rest is history

Waliwakataa mitume wapi?na lini au andiko gali lililotoka kwa mungu wa wayahudi alihamishia mitume wake kwa waarabu?
 
Back
Top Bottom