Habari gani Wanajamvi,,,,!!!
Naomba kwa wale wenye uelewa juu ya madhara anayoweza kupata mwanamke mwenye tabia ya kumeza manii
Kinachofanya nitake kujua juu ya jambo hili ni kutokana na demu wangu kupenda sana zoezi la 'sucking' na pale wazungu wanapoanza kutoka yeye huwa anameza na hatemi hata kidogo!!!
Ni takribani miaka mitatu sasa tupo kwenye mahusiano na kila tukitaka kufanya mapenzi basi lazima bao la kwanza liishie mdomoni na lazima ameze zote na kisha anatafuna chocolate na gemu inaendelea tena!!!!
Sasa kwa siku za hivi karibuni ameanza kukohoa sana na analalamika kifua kinamsumbua na tumefanya vipimo vinavyohusiana na kukohoa lakn hakuna tatizo lililoonekana na kaandikiwa dawa kibao lakn hali bado!!!
Naomba nipate mawazo juu ya tatizo hili na kama kuna uhusiano wowote wa kitaalamu kwenye umezaji wa shahawa na maumivu ya kifua na je nini cha kufanya?