masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Kuna watoto wanakula makamasi hadi wakiwa watu wazima. Unakuta mtoto anaweka kidoloe puani na kuhamishia mdomoni!
Ila kwa hii case, ni vizuri kufanya vipimo kwa dada na kijana mwenyewe ili kujua kama hana STIs!
niliona gazetini mwanaume kapata cancer ya koo kisa hizo mavitu za kunyonya , dah mpe pole ila ujue zitakuwa hizo sperm zimeji accumulate kifuani lazima akooe hapo tena sana tu , ila thats misuse of resources and energy . akacheki pia muhimbili yawezekana ni lung cancer manake mtu kukohoa asubuhi mpaka jioni si mchezo, afu all those three years unamgegeda tu si umuoe basi manake nanhi si imedepreciate vya kutosha ,duh
Habari gani Wanajamvi,,,,!!!
Naomba kwa wale wenye uelewa juu ya madhara anayoweza kupata mwanamke mwenye tabia ya kumeza manii
Kinachofanya nitake kujua juu ya jambo hili ni kutokana na demu wangu kupenda sana zoezi la 'sucking' na pale wazungu wanapoanza kutoka yeye huwa anameza na hatemi hata kidogo!!!
Ni takribani miaka mitatu sasa tupo kwenye mahusiano na kila tukitaka kufanya mapenzi basi lazima bao la kwanza liishie mdomoni na lazima ameze zote na kisha anatafuna chocolate na gemu inaendelea tena!!!!
Sasa kwa siku za hivi karibuni ameanza kukohoa sana na analalamika kifua kinamsumbua na tumefanya vipimo vinavyohusiana na kukohoa lakn hakuna tatizo lililoonekana na kaandikiwa dawa kibao lakn hali bado!!!
Naomba nipate mawazo juu ya tatizo hili na kama kuna uhusiano wowote wa kitaalamu kwenye umezaji wa shahawa na maumivu ya kifua na je nini cha kufanya?
Kwanza congratulations man, you're so lucky! I wish I had a girl like that! Baada ya hayo napenda nikuhakikishie kuwa kama hauna gonjwa lolote la zinaa au HIV hakuna tatizo lolote mpenzi wako kumeza manii. Watu wanasahau kuwa tumbo lina enzymes na acids ambazo zina uwezo wa kumeng'enya manii kama chakula kingine chochote.
Cha muhimu ni kuepuka kupata magonjwa ya zinaa na HIV vinginevyo utamuua mtoto wa watu. Huko kukohoa hakuhusiani kabisa na hilo suala. Nakushauri mtafute specialist wa respiratory diseases amcheki mpenzi wako.
Nakushukuru sana mkuu!!! Umenipa mwanga na ujasiri,natafuta specialist within this week na nitaku -pm ili nikupe up dates!!!! GOD BLESS YOU.
Wee nae muhanga nini? Acheni uzungu mtakufa bure!
Watu kwakupenda sifa sasa anameza ili iweje ?
Habari gani Wanajamvi,,,,!!!
Naomba kwa wale wenye uelewa juu ya madhara anayoweza kupata mwanamke mwenye tabia ya kumeza manii
Kinachofanya nitake kujua juu ya jambo hili ni kutokana na demu wangu kupenda sana zoezi la 'sucking' na pale wazungu wanapoanza kutoka yeye huwa anameza na hatemi hata kidogo!!!
Ni takribani miaka mitatu sasa tupo kwenye mahusiano na kila tukitaka kufanya mapenzi basi lazima bao la kwanza liishie mdomoni na lazima ameze zote na kisha anatafuna chocolate na gemu inaendelea tena!!!!
Sasa kwa siku za hivi karibuni ameanza kukohoa sana na analalamika kifua kinamsumbua na tumefanya vipimo vinavyohusiana na kukohoa lakn hakuna tatizo lililoonekana na kaandikiwa dawa kibao lakn hali bado!!!
Naomba nipate mawazo juu ya tatizo hili na kama kuna uhusiano wowote wa kitaalamu kwenye umezaji wa shahawa na maumivu ya kifua na je nini cha kufanya?
Huyo jamaa ni zuzu kweli mnaendekeza kila mnachoona kwenye porn movies...inaonekana hata kumf.ra unam.f.ra huyo. Shenzyy kbs wewe
Mtu akimeza kitu huwa kinaenda kifuani? Lung cancer isababishwe na kumeza kitu? Sayansi ya wapi hiyo?
Kweli kumeza manii kunaleta kifua. Kuna kipindi cha afya yako redioni siku walikuwa wakieleza huo ugonjwa. Kifua kinakuwa kizito hasa ukiinama, kinauma sana, ukikohoa unatoa hayohayo madude hayohayo na yanaziba pumzi sababu ya uterezi wake hadi unjwe maji
Hapo nenda hospital yeyote kubwa wakamsack yaani wanaingiza mrija wanayavuta kama vile mtoto.anavyozaliwa wanavyomtoa uchafu mdomoni na pia kuna dawa zake.
Kunyonywa nananihino ni raha sana. Asikwambie mtu.
Kweli kumeza manii kunaleta kifua. Kuna kipindi cha afya yako redioni siku walikuwa wakieleza huo ugonjwa. Kifua kinakuwa kizito hasa ukiinama, kinauma sana, ukikohoa unatoa hayohayo madude hayohayo na yanaziba pumzi sababu ya uterezi wake hadi unjwe maji
Hapo nenda hospital yeyote kubwa wakamsack yaani wanaingiza mrija wanayavuta kama vile mtoto.anavyozaliwa wanavyomtoa uchafu mdomoni na pia kuna dawa zake.
Habari gani Wanajamvi,,,,!!!
Naomba kwa wale wenye uelewa juu ya madhara anayoweza kupata mwanamke mwenye tabia ya kumeza manii
Kinachofanya nitake kujua juu ya jambo hili ni kutokana na demu wangu kupenda sana zoezi la 'sucking' na pale wazungu wanapoanza kutoka yeye huwa anameza na hatemi hata kidogo!!!
Ni takribani miaka mitatu sasa tupo kwenye mahusiano na kila tukitaka kufanya mapenzi basi lazima bao la kwanza liishie mdomoni na lazima ameze zote na kisha anatafuna chocolate na gemu inaendelea tena!!!!
Sasa kwa siku za hivi karibuni ameanza kukohoa sana na analalamika kifua kinamsumbua na tumefanya vipimo vinavyohusiana na kukohoa lakn hakuna tatizo lililoonekana na kaandikiwa dawa kibao lakn hali bado!!!
Naomba nipate mawazo juu ya tatizo hili na kama kuna uhusiano wowote wa kitaalamu kwenye umezaji wa shahawa na maumivu ya kifua na je nini cha kufanya?
Sina utaalamu, lakini sioni ukweli wa manii kubaki kams ni tumboni au kifuani, ni lazima yatakuwa absorbed mwilini. Ama kuleta madhara sina hakika.
Yawezekana ,kuna mama mmoja naye ndo zilikuwa zake hizo bahati nzuri yeye ni muwazi hafichi na yeye anasumbuliwa sana na koo pamoja na kikohozi na hospital kaambiwa kuwa hiyo ndiyo source