Je mapendekezo ya "TUME YA HAKI JINAI" yako wapi kwa Polisi hii

Je mapendekezo ya "TUME YA HAKI JINAI" yako wapi kwa Polisi hii

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Wale wale waliokuwa wanashangilia mapendekezo ya tume ndiyo hao hao hawajatekelezi na wengine kuagiza kuvunjwa kwa sheria hizo hizo. Yaani Polisi ya sasa inavunja sheria kuliko hata Polisi ya kabla ya tume. Sasa faida ya hizi tume ni nini! Au Tuwe na tume maalumu kwa vyama na makundi na sio kwa nchi!. Polisi na usalama wa taifa badala ya kufanya kazi watoto wanabakwa ushindani huko Congo ! wamekuwa wanafanya kazi kwa Chama cha mapinduzi!!



View: https://www.youtube.com/watch?v=ofeaNSfXkhs&t=14s
 
Wale wale waliokuwa wanashangilia mapendekezo ya tume ndiyo hao hao hawajatekelezi na wengine kuagiza kuvunjwa kwa sheria hizo hizo. Yaani Polisi ya sasa inavunja sheria kuliko hata Polisi ya kabla ya tume. Sasa faida ya hizi tume ni nini! Au Tuwe na tume maalumu kwa vyama na makundi na sio kwa nchi!. Polisi na usalama wa taifa badala ya kufanya kazi watoto wanabakwa ushindani huko Congo ! wamekuwa wanafanya kazi kwa Chama cha mapinduzi!!



View: https://www.youtube.com/watch?v=ofeaNSfXkhs&t=14s

Ule ulikuwa ubadhirifu wa pesa za umma . Polisi wenyewe form four faliers wataelewa nn kuhusu haki jinai?
 
Wale wale waliokuwa wanashangilia mapendekezo ya tume ndiyo hao hao hawajatekelezi na wengine kuagiza kuvunjwa kwa sheria hizo hizo. Yaani Polisi ya sasa inavunja sheria kuliko hata Polisi ya kabla ya tume. Sasa faida ya hizi tume ni nini! Au Tuwe na tume maalumu kwa vyama na makundi na sio kwa nchi!. Polisi na usalama wa taifa badala ya kufanya kazi watoto wanabakwa ushindani huko Congo ! wamekuwa wanafanya kazi kwa Chama cha mapinduzi!!



View: https://www.youtube.com/watch?v=ofeaNSfXkhs&t=14s

PT is not the Army of the People, it is the Army of Regime.
Get informed.
 
Wale wale waliokuwa wanashangilia mapendekezo ya tume ndiyo hao hao hawajatekelezi na wengine kuagiza kuvunjwa kwa sheria hizo hizo. Yaani Polisi ya sasa inavunja sheria kuliko hata Polisi ya kabla ya tume. Sasa faida ya hizi tume ni nini! Au Tuwe na tume maalumu kwa vyama na makundi na sio kwa nchi!. Polisi na usalama wa taifa badala ya kufanya kazi watoto wanabakwa ushindani huko Congo ! wamekuwa wanafanya kazi kwa Chama cha mapinduzi!!



View: https://www.youtube.com/watch?v=ofeaNSfXkhs&t=14s



Je Mama umekalia ripoti hii au inafanyiwa kazi!
 
Back
Top Bottom