Kawaida Sana kwa wapenz wetu wa kishule shule,
Mapenz ya vile kuisha Ni ngumu mno,
Maana mlipendana naturally bila influence ya pesa,umaarufu Wala cheo.
Nna binti aliwai kunipenda sana Tangu Tuko sekondar, binafs sikumpenda maana nilikua player na nilikua na option lukuzi za mabinti wazur sana kuliko yeye na pesa ilikuepo.
Hata kumtongoza nilimtongoza TU Kwasababu ya nyege zangu mazingira alikaa vibaya, baada ya kusex nae nikapita kushoto maana hata kutoka nae out kwa Watu nilimkwepa.(Hakua type yangu).
Kumbe yeye ndo alizid kunipenda sana.
Nowdays kaajiliwa pale wizara ya viwanda&biashara.
Ananisaidia mambo mengi ya kiserikali Kama ex wake na rafiki Yake.
Happy naona kabisa anataman tukumbushe na Kuna mwaka niliwai kujizima data nikataman tukapashe kiporo kdg ila nafs ikasita maana yakishaingia mapenz michongo yangu ataikwamisha na huenda akaniganda Sana.