Je, mapenzi ni upendo au ni tendo?

Hawa wananipiga vibuti kila leo huko pm...mbususu ya hawa warembo mie kuiona ni mpaka yesu arudi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tena kama huyo Kelsea ananiona mie kama utopolo tuu
Una sh. Ngap nikusaidie kumshawishi Kelsea akukubalie
Ujue Tunaelewana Sana Hawezi kukukatalia nikimbembeleza mimi[emoji4]
 
Mapenz kuvumiliana,
Akishakupenda mtavumiliana TU
Kelsea sio mchoyo,Mtatumia pesa zake[emoji4]
Wee huyo kaacha ndoto yake ya kuolewa na tdh kwa ajiri ya andunje mwenye pesa....acha bwana pesa inakupatia demu yoyote utakaye
 
Kwanza suala zima la mapenz wanawake na Wanaume wametofautiana sana

1. Mwanaume anaweza kusex na mwanamke asiyempenda na bado akaenjoy sex

2. Mwanamke Hawez kusex na mwanaume asiyempenda, ukiona umepewa jua kakupenda
Money talks siku zote , ukiwa na pesa utakula mpaka ukinai
 
Omba iwe huyo demu hayumo humu, ila kwa comment zako za kuwa ulisex nae kwa nyege zako na hukutaka watu wakuone nae, basi ujue misaada yote anayokupa unapokwenda kazini kwake ndio usahau kwa sasa, na subiri uone chuki za kike! Umejiharibia!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…