CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,921
- 3,474
Mkuu mbona una shingo ngumu,Nabii mwingira ashawafunulia maono aliyooneshwa na Mungu,muda huo utakuwa huko chattle unawatishia ngo,MBE wako na wale tausiWa wizi.Mleta mada naona umemvalia njuga Magufuli anyway uchaguzi ukiisha tutajuana mbele kwa mbele wewe endelea tu na chokochoko zako
Tafuta wa 'Kuwatishia' hivi na siyo Mimi 'Pumbavu' sawa? Hii ni 'Damu' halisi ya 'Kitutsi' na ninaweza 'Kukuwahi' Wewe na ukawa 'Historia' duniani.Mleta mada naona umemvalia njuga Magufuli anyway uchaguzi ukiisha tutajuana mbele kwa mbele wewe endelea tu na chokochoko zako
Hakuna mtusi hata mmoja aliye mjinga kama weweTafuta wa 'Kuwatishia' hivi na siyo Mimi 'Pumbavu' sawa? Hii ni 'Damu' halisi ya 'Kitutsi' na ninaweza 'Kukuwahi' Wewe na ukawa 'Historia' duniani.
Na hakuna Mtanzania hata Mmoja kati ya ninaowafahamu aliye Mpumbavu ( Popoma ) kama Wewe. Eti 'unanitishia' Mimi 'Mafia' kabisa. Swine!!!!Hakuna mtusi hata mmoja aliye mjinga kama wewe
Na ndio maana tunabadilishana mawazo.Hatuwezi kufanana mawazo mkuu
Gwajina akishinda, mfano, na kuteuliwa kuwa waziri wa mambo fulani, je atatupilia mbali ukanisa?Je,
1. Wasiwe Wapole sana?
2. Wawe na Roho mbaya mno?...
Yeye mwenyewe anavyowafanyia watu si unaona?Je,
1. Wasiwe Wapole sana?
2. Wawe na Roho mbaya mno?
3. Wawamalize Maadui zao mapema ili wasiwasumbue mbeleni?
4. Wawe wanamfurahisha Yeye zaidi na siyo anaowaongoza?
5. Wahakikishe Maslahi ya Vyama vyao hao Marais ndiyo yanazingatiwa?
6. Wafanye Tukio Kubwa na Baya kwa Jamii ila ambalo litafurahiwa na kupongezwa na hao Marais?
7. Wakazane katika Miradi mbalimbali ili Chenji zinazobaki basi wawe wanawapelekea haraka Ikulu hawa Marais?
Karibuni katika Kuchangia japo nitapenda kupata Michango yenu Kamili yenye 'Uzoefu' zaidi katika hili ili nami GENTAMYCINE nijifunze mengi pia.
Anaukanisa gani Gwajima?Gwajina akishinda, mfano, na kuteuliwa kuwa waziri wa mambo fulani, je atatupilia mbali ukanisa?
Leo bia yetu sema ukweli namba ipi hapo jiwe anamaanisha kama sio ile ya kuwaonea wapinzani?Hatuwezi kufanana mawazo mkuu
Leo bia yetu sema ukweli namba ipi hapo jiwe anamaanisha kama sio ile ya kuwaonea wapinzani?
Ccm wao ni malaika hawavunji sheriaWapinzani wanajionea wenyewe kwa kuvunja sheria
Soma The Philosophy of Machiavellianism.Je,
1. Wasiwe Wapole sana?
2. Wawe na Roho mbaya mno?
3. Wawamalize Maadui zao mapema ili wasiwasumbue mbeleni?
4. Wawe wanamfurahisha yeye zaidi na siyo anaowaongoza?
5. Wahakikishe Maslahi ya Vyama vyao hao Marais ndiyo yanazingatiwa?
6. Wafanye Tukio Kubwa na Baya kwa Jamii ila ambalo litafurahiwa na kupongezwa na hao Marais?
7. Wakazane katika Miradi mbalimbali ili Chenji zinazobaki basi wawe wanawapelekea haraka Ikulu hawa Marais?
Karibuni katika Kuchangia japo nitapenda kupata Michango yenu Kamili yenye 'Uzoefu' zaidi katika hili ili nami GENTAMYCINE nijifunze mengi pia.
Kwakuwa Wewe 'Umeshaisoma' niambie / nielimishe sasa kuwa inasemaje labda?Soma The Philosophy of Machiavellianism.