Je, Master J huwa anampiga Shaa?

Asee mwanamke mwenye kisasi ni mbaya sana. We unaonesha hukubaligi kushindwa na unatabia ya “nimkomeshe”
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi kwanini unipige siunaweza kuniua bure sijapigwa kabisa Hadi nimekua mwanaume anipige tu na jinsi mumekomaa ka nini loh[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nakujeuri na ninachukua hamsini zangu za maisha, why unipige, huna hyo mamlaka Yani navizia nikupe alama Ili unisahau kabisa
 
Kupiga haina justification yoyote acheni kutetea uovu bwana, Yani unafanya uhalifu na kusingizia eti mwanamke kanisababishia huo si ujinga
 
Mtu anayekutesa na kukupiga kwenye mahusiano hukuharibu akili na unakuwa addicted hapo ndugu wasipo ku rescue kinguvu ndio mwisho mwanaume anakuja kukuua kabisa na usipo saidiwa kumsahau ni shida una Rudi kwa abuser maana alishakupa addiction kama ya madawa ya kulevya, Mimi kosa nisilo samehe mwanaume ni kipigo na Kuni abuse abuse aisee.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hii kiboko
 
Huyo binti ni njaa au kitu gani kinamfanya avumilie kipigo? Master J ni upcoming R.Kelly [emoji28]
Sarah kwao maisha bora nafikir ni first boyfriend wake!maana sijawahi skia ana mwanaume mwingine,sasa hajiamini na maamuzi!
She was bright girl enzi anasoma watu walidhani atakuja kua hata mkuu wa wilaya au mbunge ,alipoishia ni hapo!
 
Sarah kwao maisha bora nafikir ni first boyfriend wake!maana sijawahi skia ana mwanaume mwingine,sasa hajiamini na maamuzi!
She was bright girl enzi anasoma watu walidhani atakuja kua hata mkuu wa wilaya au mbunge ,alipoishia ni hapo!
Hee first boyfriend mpaka uzeeni bila ndoa?
 
Alikuwa ananikagua kila siku hadi kuninusa papuchi kuangalia kama ninauza mechi....hahaha halafu ni kaboy tu.
Wewe tony huko uliko utafika mbinguni umechoka sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hyo Kali aseehh!ila wakurya wanakuwaga watata sana!ngumi mkononi!yaani Mimi hao hapana kwa kweli
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hyo Kali aseehh!ila wakurya wanakuwaga watata sana!ngumi mkononi!yaani Mimi hao hapana kwa kweli
Mkurya noma ...ilikuwa ni abusive relationship. halafu wanatembea kwenye makundi kama nyumbu.
 
Hee first boyfriend mpaka uzeeni bila ndoa?
Master j alikua na church marriage bado alikua hajadivosi nafikiri!na Sarah ndo alikua anaanza mziki na kundi la wakilisha enzi hizo bwana studio ili ung'ae mtoto wa kike weka mbunye mezani,nafikiri Sarah's akafall kwa master na mzee baba akamuweka ndo mpk Leo wako pamoja kuoana sijui lini asehh!ngoja tusubiri!!kwanza!
 
Ila nilimuachia kilema kwenye dole gumba.
Mshenzi yule. Alinigeuza kitenesi.
 
Mkurya noma ...ilikuwa ni abusive relationship. halafu wanatembea kwenye makundi kama nyumbu.
Wanawake wengi wako humo!na ukizoea kupigwa huwezi kua na MTU muungwana unaona kupigwa ndo mapenzi yaani unakua km na kaadiksheni flani hivi.
Mimi sijawahi kupigwa na mwanaume toka nazaliwa nashukuru sana !napata picha siku napigwa asehh
 
Kama wanaishi kama wanandoa its fine for dem😅 inaonesha hana interest ya ndoa sababu kama enzi zile za wakilisha alikuwa 18 that was 20 years ago ina maana sahizi anakaribia 40 yrs old
 
And she is approaching 40 now Sarah!yaani kama kuna mahala alifeli ni hapo!ndoto zake zote kwishaa kabisa
Katumika mno na yeye huo mda aliotumia kusubiria ndoa ya mwenzake ife aolewe yeye na kuvumilia ndio madhara yake hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…