kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Slow kufanyaje?Na wanaume mko slow utadhani mma autism wote. Kama mapunguani hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slow kufanyaje?Na wanaume mko slow utadhani mma autism wote. Kama mapunguani hivi
Kuna wanaume wanaumwa akili kweli haswaaa wanaokua na wanawake ambao wao wenyewe hawaamini waliwapataje. Mwanaume wa hivyo hata ukiangaliwa tu anakupiga.80% ya wanawake huweka mazingira ya wao kupigwa. Hili nakubaliana nalo kwa asilimia 100%.
Chanzo kikubwa cha vipigo kwa wanawake ni kukosa staha hasa kwenye kauli na kupenda kutumia lugha kali na maneno ya karaha yasiovumilika mbele ya wanaume either intentionally au un-intentionally. Hii hupelekea asilimia 80 ya vipigo na hii hali inaepukika kama mwanamke atajitambua tu na kuacha ujinga.
Kingine ni mental disorder za wanaume ambao kuna watu wao hupenda ligi tu. Yani mtu ana anger disorders kwahio hana control na yeyote anaejaribu kumpinga au kufanya jambo kinyume nae basi wanaanza parling[emoji28]!
Mtu kama huyu ndio utakuta hata mwanamke akimpa remote na mkono wa shoto kamtia kibao. Akimpa maji kwenye kikombe badala ya glass kamtia kelebu. Anakuwa na wivu wa kijinga mke akisalimiwa na mfanyakazi mwenzie tu kipigo.
Endeleeni kuwachakaza hao wapaka powderMimi mwenyewe ningerudisha wala nakuvizia na mimi lazima nikuweke alama Ili usinisahau
Yani ni kipigo tu na hawa ndio wanatufanya wanaume wote tuonekane makatili😅!Kuna wanaume wanaumwa akili kweli haswaaa wanaokua na wanawake ambao wao wenyewe hawaamini waliwapataje. Mwanaume wa hivyo hata ukiangaliwa tu anakupiga.
Hao ndo wale wanaozalishwa wanatemwa mkuu. Mwanaume hawezi kuishi na kituko kama hicho.Alafu unakuta hili jibu unamjibu mumeo Kwa nn asikuwashe kerbu kidogo[emoji28]
cariha unamsikia mwenzio anavyotutusi wanaume wote wote mapunguani na tuna autism?
Wanaishi kama wanandoa mda sanaKama wanaishi kama wanandoa its fine for dem[emoji28] inaonesha hana interest ya ndoa sababu kama enzi zile za wakilisha alikuwa 18 that was 20 years ago ina maana sahizi anakaribia 40 yrs old
Hapana sio alikua anasubiri mwenziwe afe ndo aolewe , mastar jay na mkewe wametengana kitambo sanaa kabla ya Sarah na mkewe nafikiri na watoto walikua wanaishi UK mda mnooo!master jay be4 Sarah kashadate na wadada wengine wengi tu Sema Sarah ndo amedumu sana kwa kua Sarah ni mtulivu sana hana uhuni...!!!Katumika mno na yeye huo mda aliotumia kusubiria ndoa ya mwenzake ife aolewe yeye na kuvumilia ndio madhara yake hayo
[emoji23][emoji23][emoji23] na vipigo juuHee first boyfriend mpaka uzeeni bila ndoa?
Safi huyo hawezi kusahau kabisaIla nilimuachia kilema kwenye dole gumba.
Mshenzi yule. Alinigeuza kitenesi.
Ila nilisoma mahali kuwa kabla hata divorce na master Jay mkewe alikuwaga anagombana na shaa kisa master Jay tena akiwa anaenda kumtukana mkewe Hadi huko masaki, what I have learnt ku date na mwanaume aliyeachanaga na mkewe wa halali huwa ni gundu wanaume hao hutesa sana, ona shaa kasacrifice kipaji chake, na hajafanya hata mambo mengine kisa master Jay, ambaye hataki kumuoa ameamua tu ajizalie mtoto wakeHapana sio alikua anasubiri mwenziwe afe ndo aolewe , mastar jay na mkewe wametengana kitambo sanaa kabla ya Sarah na mkewe nafikiri na watoto walikua wanaishi UK mda mnooo!master jay be4 Sarah kashadate na wadada wengine wengi tu Sema Sarah ndo amedumu sana kwa kua Sarah ni mtulivu sana hana uhuni...!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] na vipigo juu
Pole sanaYeah
Ila kwa sasa nina dharura ya ugonjwa so nimesimama.
Kwanini mamilooo?And she is approaching 40 now Sarah!yaani kama kuna mahala alifeli ni hapo!ndoto zake zote kwishaa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mashavu ya wanawake yanavutia kupiga makofi
SenkyuuPole sana