Je, Master J huwa anampiga Shaa?

Je, Master J huwa anampiga Shaa?

80% ya wanawake huweka mazingira ya wao kupigwa. Hili nakubaliana nalo kwa asilimia 100%.

Chanzo kikubwa cha vipigo kwa wanawake ni kukosa staha hasa kwenye kauli na kupenda kutumia lugha kali na maneno ya karaha yasiovumilika mbele ya wanaume either intentionally au un-intentionally. Hii hupelekea asilimia 80 ya vipigo na hii hali inaepukika kama mwanamke atajitambua tu na kuacha ujinga.

Kingine ni mental disorder za wanaume ambao kuna watu wao hupenda ligi tu. Yani mtu ana anger disorders kwahio hana control na yeyote anaejaribu kumpinga au kufanya jambo kinyume nae basi wanaanza parling[emoji28]!

Mtu kama huyu ndio utakuta hata mwanamke akimpa remote na mkono wa shoto kamtia kibao. Akimpa maji kwenye kikombe badala ya glass kamtia kelebu. Anakuwa na wivu wa kijinga mke akisalimiwa na mfanyakazi mwenzie tu kipigo.
Kuna wanaume wanaumwa akili kweli haswaaa wanaokua na wanawake ambao wao wenyewe hawaamini waliwapataje. Mwanaume wa hivyo hata ukiangaliwa tu anakupiga.
 
Kuna wanaume wanaumwa akili kweli haswaaa wanaokua na wanawake ambao wao wenyewe hawaamini waliwapataje. Mwanaume wa hivyo hata ukiangaliwa tu anakupiga.
Yani ni kipigo tu na hawa ndio wanatufanya wanaume wote tuonekane makatili😅!

Mwanamke ambaye ana hekima na hapendi kupigwa always huwa anajiwahi kujihami na kujiweka mbali na kipigo mara zote yani ukiwa timamu huwezi pata hata akili ya kumgusa. Sasa sie hawa ndio tunawapenda kama paradiso zetu. Mwanamke awe na changamoto zote zitavumilika ila sio za kukukosesha amani kama kelele na ugomvi.
 
Kama wanaishi kama wanandoa its fine for dem[emoji28] inaonesha hana interest ya ndoa sababu kama enzi zile za wakilisha alikuwa 18 that was 20 years ago ina maana sahizi anakaribia 40 yrs old
Wanaishi kama wanandoa mda sana
 
Katumika mno na yeye huo mda aliotumia kusubiria ndoa ya mwenzake ife aolewe yeye na kuvumilia ndio madhara yake hayo
Hapana sio alikua anasubiri mwenziwe afe ndo aolewe , mastar jay na mkewe wametengana kitambo sanaa kabla ya Sarah na mkewe nafikiri na watoto walikua wanaishi UK mda mnooo!master jay be4 Sarah kashadate na wadada wengine wengi tu Sema Sarah ndo amedumu sana kwa kua Sarah ni mtulivu sana hana uhuni...!!!
 
Hapana sio alikua anasubiri mwenziwe afe ndo aolewe , mastar jay na mkewe wametengana kitambo sanaa kabla ya Sarah na mkewe nafikiri na watoto walikua wanaishi UK mda mnooo!master jay be4 Sarah kashadate na wadada wengine wengi tu Sema Sarah ndo amedumu sana kwa kua Sarah ni mtulivu sana hana uhuni...!!!
Ila nilisoma mahali kuwa kabla hata divorce na master Jay mkewe alikuwaga anagombana na shaa kisa master Jay tena akiwa anaenda kumtukana mkewe Hadi huko masaki, what I have learnt ku date na mwanaume aliyeachanaga na mkewe wa halali huwa ni gundu wanaume hao hutesa sana, ona shaa kasacrifice kipaji chake, na hajafanya hata mambo mengine kisa master Jay, ambaye hataki kumuoa ameamua tu ajizalie mtoto wake
 
Ukimpiga dada kwa mikono ujue umefeli. Tuulize sisi tukwambie hao wanataka kipigo gani. Yaani unampa kipigo mpaka anampigia simu mamaake mzazi kumwambia don't worry about me, I'm very happy now
 
Master J mwenyewe mimi nina wasiwasi nae, mbona anaonekana kama mchumba flani hivi? Don't tell me the guy isn't a gay? I don't know 😕
 
Back
Top Bottom