Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Mwanamke bila kumpiga hawezi kukuheshimu. Na tena akili haiwezi kukaa vizuri. Atatafuta hata jamaa linalompeleka ndo ataliona dume, litapewa hadi ndogo. Wewe utaonekana boya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
One of her addictions must’ve been having her stinky snatch stretched and smelfed up everytime she got back home. She must have enjoyed this shit everytime to last four years with dude. I know for a fact women will hold on to men who dare go down on them even once.Mtu anayekutesa na kukupiga kwenye mahusiano hukuharibu akili na unakuwa addicted hapo ndugu wasipo ku rescue kinguvu ndio mwisho mwanaume anakuja kukuua kabisa na usipo saidiwa kumsahau ni shida una Rudi kwa abuser maana alishakupa addiction kama ya madawa ya kulevya, Mimi kosa nisilo samehe mwanaume ni kipigo na Kuni abuse abuse aisee.
Ndo wamezaa mwaka huu!Kwanini mamilooo?
Washazaa au bado?
Dah walikuwa wanakula maisha kwanza,Ndo wamezaa mwaka huu!
Ni shida sanaSi ni bora hata angekuwa na mjuba[emoji28]
Ni kweli ulichoandikaOne of her addictions must’ve been having her stinky snatch stretched and smelfed up everytime she got back home. She must have enjoyed this shit everytime to last four years with dude. I know for a fact women will hold on to men who dare go down on them even once.
Yes walitengana kitambo nadhani Shaa hakuingilia ndoa yao. Kumbe jamaa ni mtu mwenye tatizo la kuwa hasira?Hakumpindua, alikuta washatengana. Na isue Huyo mrombo Ana mahasira yupo kama bipolar. Yule mke wake wa mwanzo Sasa ni nabii hapo daslam, na nadhani pia kaolewa na mzungu
Kwanini unasema ni upcoming R.Kelly? Wanafanana vipi. HahahahaHuyo binti ni njaa au kitu gani kinamfanya avumilie kipigo? Master J ni upcoming R.Kelly 😅
Si mbakaji wa wanafunz😂 mwisho apige aue aende jelaKwanini unasema ni upcoming R.Kelly? Wanafanana vipi. Hahahaha
Mtu anakukwaza daily hiyo hamu ya kudinya au kudinywa inatoka kumbuka lile tendo is all about feelings kama huna hisia mnachoshana tu.Sisi tuliokua zamani tuliambiwa na wazee kwamba kama ikitokea ugomvi kati yenu ndani ya ndoa mwanaume usikubali kulala na mkeo hadi kukuche bila kushiliki nae kimapenzi .Unashauliwa kumbembeleza mkeo hata kama kwa kutumia nguvu ili ushiliki nae na hapo ugomvi utaisha tu.Kosa kubwa wanaume tunafanyaga ni kumununia mkeo,Yan mke kanuna na Mme nae kanuna Sasa hapo mnashindana kununa hii n mbaya Sana manake chuki huongezeka na visasi na mwisho ni kuumizana.Pia Mana ya upendo ni kuvumia penye udhaifu na kuhulumiana,Kumpga mkeo ni udhaifu mkubwa Sana na ukiona katika ndo maelewano hakuna na Hali imekua mbaya Bora kuvunja ndoa kuliko kuja kuuana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni bora iwe kweli kuliko kusingiziwa; uongo unauma sanaUna Matatizo pia kama hamuaminia ndio mambo kama hayo hutokea , pia kwanini uumie wakati sio kweli
😂😂wewe utakuwa ni mtu mfupi,Ukinipiga lazima nikupopoe mawe tu...kama hamna mawe basi kilichopo mbele yangu halali yako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji113][emoji113][emoji23][emoji23]wewe utakuwa ni mtu mfupi,
Ndio wanakimbiliaga mawe
Ngumu kutoka pale Shaa.Sarah kwao maisha bora nafikir ni first boyfriend wake!maana sijawahi skia ana mwanaume mwingine,sasa hajiamini na maamuzi!
She was bright girl enzi anasoma watu walidhani atakuja kua hata mkuu wa wilaya au mbunge ,alipoishia ni hapo!
Hata simjibishi nakuwa kimya nafanya yameisha huku naanda rungu navunja mguu nasepa zangu mie[emoji23][emoji23][emoji23]