Kuna kiungo Cha kupikia ni kama chumvi au ndimu, hiki kiungo ni kemikali hutumika majumbani na kwenye mapishi ya biashara kwenye bar na migahawa.
Kinajulikana kwa jina la Ajinamoto, ndugu wanajukwaa hasa wadau wa lishe, afya na chakula karibu kwa ufafanuzi kama hiki kitu kinaathari kwenye nguvu kiume hasa boloz kusimama, pumbu kufanya na kuwa na uwezo wa kudindisha.
Hapa haina kisingizio cha kurogwa kwa kutembea na wake za watu.
Ni hayo tu