Je, mawaziri Jaffo na Aweso wataendelea na mikwara ile ile ya kutumbua na kufokea watendaji hadi wanazimia?

Je, mawaziri Jaffo na Aweso wataendelea na mikwara ile ile ya kutumbua na kufokea watendaji hadi wanazimia?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kila kitabu na zama zake ndio maana tulio wengi tunaona ni vema Rais SSH akateua baraza lake la mawaziri watakaoendana na maono na kasi yake.

Fikiria utendaji wa mawaziri Jaffo na Awesu ambao wametumbua na kukerehesha wengi , je wataendelea na mzuka ule ule?
Au watabadili voco kulingana na mirindimo?

Yetu macho na masikio.

Nawatakia Kwaresma yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ila huu msiba umekatisha ndoto za vijana wengi walamba nyayo wazee wa kujipendekeza wengi awamu hii walichukua fomu za kugombea na kusubiri teuzi. Sasa inaingia circle nyingine chain nyingine.
 
Kila kitabu na zama zake ndio maana tulio wengi tunaona ni vema Rais SSH akateua baraza lake la mawaziri watakaoendana na maono na kasi yake.

Fikiria utendaji wa mawaziri Jaffo na Awesu ambao wametumbua na kukerehesha wengi , je wataendelea na mzuka ule ule?
Au watabadili voco kulingana na mirindimo?

Yetu macho na masikio.

Nawatakia Kwaresma yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Ccm ni sehemu ya kuzalisha wahuni na wasiyo thamini utu kabisa.
 
Ila huu msiba umekatisha ndoto za vijana wengi walamba nyayo wazee wa kujipendekeza wengi awamu hii walichukua fomu za kugombea na kusubiri teuzi. Sasa inaingia circle nyingine chain nyingine.
Kina Musiba na mwenzake wa hai lazima watakuwa wamezimia kabisa
 
Ila huu msiba umekatisha ndoto za vijana wengi walamba nyayo wazee wa kujipendekeza wengi awamu hii walichukua fomu za kugombea na kusubiri teuzi. Sasa inaingia circle nyingine chain nyingine.
Kwahiyo Pascal Mayalla anasubiri teuzi?

Acha hizo wewe!
 
Kila kitabu na zama zake ndio maana tulio wengi tunaona ni vema Rais SSH akateua baraza lake la mawaziri watakaoendana na maono na kasi yake.

Fikiria utendaji wa mawaziri Jaffo na Awesu ambao wametumbua na kukerehesha wengi , je wataendelea na mzuka ule ule?
Au watabadili voco kulingana na mirindimo?

Yetu macho na masikio.

Nawatakia Kwaresma yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Kweli johnthebaptist wewe ndo wa kuandika haya leo??! Ni nini lakini??
 
Kwahiyo Pascal Mayalla anasubiri teuzi?

Acha hizo wewe!
No nazungumzia kuna vijana hadi wali risk mishahara yao kwa miezi kadhaa kisa kujihusisha na shughuli za siasa kwamba hata wasipopitishwa na wajumbe basi majina yao yatakumbukwa hasa ukizingatia utawala wa magufuli ulikuwa ni wa tumbua tumbua

Waliamini zamu yao ingefika. Sasa magufuli alivyopita akatamka wazi hatotumbua tena labda kwa mmojammoja atakaye haribu. Hiki kikawa kikwazo cha kwanza.

Amefariki, kimekuwa kikwazo cha pili tena kikubwa.
Cc Sumve 2015
 
Atake asitake..tutamuongezea..saiv wale walikuwa wanamnafikia mwendazake na hizi kauli wanatetemeka wasijue nini kimehappen
 
Back
Top Bottom