fundi25
JF-Expert Member
- Apr 16, 2013
- 10,378
- 11,537
Huyu jamaa sio mfia chama sana kiasi fulani ana mawazo huru ata kabla..Kweli johnthebaptist wewe ndo wa kuandika haya leo??! Ni nini lakini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa sio mfia chama sana kiasi fulani ana mawazo huru ata kabla..Kweli johnthebaptist wewe ndo wa kuandika haya leo??! Ni nini lakini??
Ngoja aje Nyani Ngabu anitafsirie!Always be very careful when you follow the masses... Often M is missing or very silent...
@Pascal Mayalla amekula hasara juu ya hasaraKwahiyo Pascal Mayalla anasubiri teuzi?
Acha hizo wewe!
John pole sana kwa kufiwa na wajina.Mzaha siyo mzaha by Dr Kigwangalla!
Ananata na beat mkuu.Kweli johnthebaptist wewe ndo wa kuandika haya leo??! Ni nini lakini??
Mzee alitoa room sana kwa vijana na alitu inspire sana hakuwa mtu wa connection wala classes hapo ndio alishika mioyo ya watu ndio mana unaona kuna Prominent Figures Kibao tu wame groom kipindi ichi cha The Late JPM watu kama Kabudi au Mpango au Ndalichako wanakili bila JPM hizo nafasi wasingefika, Magu ana mapungufu yake kama binadamu ila he was the best kwa kweli yeye akiona tu una potential basi hasiti kukupa room regardless financial au Influence yako tofauti na enzi za Mkwere ambapo kila ulaji ulikuwa ni Connection na influence, Nina washikaji zangu ambao hawakuwa na connection yoyote ile ila katika utawala huu wamepenya kwenye super institutions za Nchi kama Hazina, BOT, Ikulu,Ofisi ya CAG Kwa keli Mzee tutamkumbuka ukiachilia ilo je ni vijana wangapi wamekuwa employed na mifumo ambayo ameanzisha yeye kama Ajira utumishi, Eeh baba nenda ila still utabaki kwenye mioyo yetu MileleKinachoniumiza ni kuhusu vijana wengi walianza kuingia kwenye siasa tena ccm kwa sababu mzee alikua anawapa nafasi sana bila kuangalia connection sijui wa tabaka gani?? Alikua fair sana kwa saivi siombei ila naona kabisa hawana nafasi tena kilichobaki warudi Bavicha kwa kasi.
Hahahaaaa......!Ananata na beat mkuu.
😁😁😁😁CCM inarudi kwa wenyewe Gweregwere na inzile imekula kwao ,sasa ni muda wa mafikizolo.
"Mafikizolo" - CCM asilia -Wazawa eg Mangula,Makamba,Kinana
"Inzile" - Wakuja - eg Bashiru,Polepole,Musiba
"Gweregwere" -Wahamiaji -Wakimbizi eg Mollel ,Waitara,Kafulila,Katambi
Umemsahau Dr. Gwajima Waziri wa Afya ,naye kaingia kwa makeke sana kama alivyokuwa Kangi Lugola.Kila kitabu na zama zake ndio maana tulio wengi tunaona ni vema Rais SSH akateua baraza lake la mawaziri watakaoendana na maono na kasi yake.
Fikiria utendaji wa mawaziri Jaffo na Awesu ambao wametumbua na kukerehesha wengi , je wataendelea na mzuka ule ule?
Au watabadili voco kulingana na mirindimo?
Yetu macho na masikio.
Nawatakia Kwaresma yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Mwandiko wako unaonesha una ka tamaa na ka ubinafsi flani. Halafu unapenda ofisi kubwa kubwa ili ukapige helaMzee alitoa room sana kwa vijana na alitu inspire sana hakuwa mtu wa connection wala classes hapo ndio alishika mioyo ya watu ndio mana unaona kuna Prominent Figures Kibao tu wame groom kipindi ichi cha The Late JPM watu kama Kabudi au Mpango au Ndalichako wanakili bila JPM hizo nafasi wasingefika, Magu ana mapungufu yake kama binadamu ila he was the best kwa kweli yeye akiona tu una potential basi hasiti kukupa room regardless financial au Influence yako tofauti na enzi za Mkwere ambapo kila ulaji ulikuwa ni Connection na influence, Nina washikaji zangu ambao hawakuwa na connection yoyote ile ila katika utawala huu wamepenya kwenye super institutions za Nchi kama Hazina, BOT, Ikulu,Ofisi ya CAG Kwa keli Mzee tutamkumbuka ukiachilia ilo je ni vijana wangapi wamekuwa employed na mifumo ambayo ameanzisha yeye kama Ajira utumishi, Eeh baba nenda ila still utabaki kwenye mioyo yetu Milele
Pasco kwisha habari yake,apige John Walker na kucheza na vijukuu vyake tu.Kwahiyo Pascal Mayalla anasubiri teuzi?
Acha hizo wewe!
Duh !Always be very careful when you follow the masses... Often M is missing or very silent...
Namsubiri hapa Chato nimpe makavu live, mwanaume ana kiwango cha kujipendekeza akikivuka anatiliwa shaka jinsi yake.Kwahiyo Pascal Mayalla anasubiri teuzi?
Acha hizo wewe!