Je, Mayele anatumika kama Agent Provocateur?

Je, Mayele anatumika kama Agent Provocateur?

Vipi yale majini mliyoyachoma mubashara pale south Africa yalikua ya kazi gani masta manake mlifuka nyie.
Tumuulize mayele kwanza. Katupiwa jini gani.maana mayele sio chizi yule
 
Lakini Mayele si alikuwa kipenzi cha wananchi? Kwa nini atumike kama 'Agent Provocateur'? Kwa nini madai yake yasisikilizwe ila ya wananchi ndio yasikilizwe?
Katika kusikilizwa anasikilizwa kwa namna anavyotaka

Swala lampira ili asikilizwe angependa cas, lakini analifanyia mtandaoni acha na maraia wamjibu huko. Hili swala wanasimba wanaleta ushabiki ila leo kwa yanga kesho simba. Waseme ukweli mchezaji professionals huwezi kwenda hivi ameanza kuharibu CV zake
 
... Hili swala wanasimba wanaleta ushabiki ila leo kwa yanga kesho simba. Waseme ukweli mchezaji professionals huwezi kwenda hivi ameanza kuharibu CV zake
Uhusika wa Simba ni kuchochea tu, na yasingeibuka haya wasingekuwa na jambo la kuchochea kuyahusu. Kwa lugha nyingine nyepesi, Simba wanashadadia kwa kuwa kuna sintofahamu katika Yanga kati ya klabu na aliyekuwa mchezaji wao kipenzi. Ili Simba wakose ishu ya kushadadia, Yanga na Mayele wayamalize
 
Klabu ya mpira wa miguu kazi yake kubwa ni kutwaa Mataji ayo mambo mengine ni upepo wa kujaribu kuwa hamisha kwenye focus.
Mbumbumbu Fc wataongea watanyamaza, viongozi wa Yanga wao wajibu kwa mafanikio ya ndani ya uwanja na nje ya uwanja iyo ndio dawa ya wapiga domo.
Kama wana ambiwa WhatsApps channel ni mafanikio wanapiga makofi akili watatoa wapi
 
Lakini Mayele si alikuwa kipenzi cha wananchi? Kwa nini atumike kama 'Agent Provocateur'? Kwa nini madai yake yasisikilizwe ila ya wananchi ndio yasikilizwe?
Unganisheni nguvu kama kipindi kile cha Feisal anahitaji support yenu
 
Acheni kumtumia majini na yeye atanyamaza.Inatumika nguvu kubwa sana kumjibu Mayele wakati wangeacha tu kumtumia majini na yeye pia angeacha.
Mnapozidi kukanusha na huku mnamtumia majini na yeye anajibu mapigo.
 
Huyo Meneja wa Mayele si ndiye huyo wa Fei Toto.

Akili za kuambiwa changanya na za kwako!
 
Vipi yale majini mliyoyachoma mubashara pale south Africa yalikua ya kazi gani masta manake mlifuka nyie.
Sisi tulikuwa tunasali ibada ya kivyetu😁. Nyie mnamtumia mchezaji specific majini...Watu wa hovyo kabisa🤣🤣
 
Msikate tamaa endeleeni hivyo hivyo
Ili muendelee kumroga vizuri.hayo sio maisha. Mayele hakukosea kucheza tanzania amekosea kuchagua timu ya kuchezea.maamuzi yake ya kucheza tanzania yalikuwa sahihi sana.shida timu alifeli kuchagua.
 
Mkufunzi wangu wa shule flani alipata kunijuza maana ya Agent Provocateur kwa kifupi hawa ni watu wanaoweza kuwa nje au ndani ya mfumo na wanatumika kuzima hot issues flani ambazo sizo rafiki kwa wakati huo kwa lengo la kufanya watu kutoelewana.

Kwanini Mayele

Ukiangalia mwezi huu Yanga walikua na mambo mazuri mengi sana japokua hata mabaya nayo yalikuwepo, baadhi ya mambo mazuri kwa Yanga ni kama vile.

  • Miaka 89 ya siku yao ya kuzaliwa.
  • Ahadi ya Gsm Kujenga Yanga Arena
  • Kupata ushindi kwenye gemu zao za ndani na nje.
  • Kuingia mikataba minono na Agha Khan Hospital pamoja na Benki ya Nmb ile ishu yao ya kadi ya milioni 1.

Ukiangalia hayo yote ni mema kwa yanga kwani yanga wakitulia na kuweza kufanya hayo hakika watakua timu bora sana na haya yote yanafanywa chini ya Rais mwenye maono Eng Hersi Said.

I want to tell Yanga fans hakika mkimpoteza huyu mwamba mtarudi miaka 20 nyuma, Hersi Said anaipenda Yanga kama timu yake lakini tambueni either nje au ndani ya Yanga kuna watu hawamtaki huyu mwamba kwa misimamo yake dhabiti kwenye kuendesha timu ya Yanga kisasa.

Mayele anaweza kuwa Agent Provocateur anayetumika either na watu wa nje au ndani ya mfumo wa Yanga jiulize kwanini ashambulie viongozi ishu ni ndogo tu ukishambulia viongozi means na Rais wa Yanga yupo ndani mwake huyu jamaa ni hatari sana kwa afya ya Simba waulize kuhusu zile 5, pia kwenye mfumo wa mpira wetu jamaa ni tishio kwa kifupi wazee wa 10% hawampendi.

Mayele ameibuka kipindi Yanga ikiwa na matukio yake muhimu ya kitaifa na kimataifa kwanini hakuibuka wakati Afcon inaanza hivi kweli Mayele huyu huyu ni wa kumweka benchi Bongonda, Wisa au Cedric Bakambu jibu ni hapana.

Mayele alikuja kama mchezaji professional ila baada ya kujifunza uswahili wa Kitanzania akakosa busara na kuanza kuropoka hovyo.

Wanayanga mzidi kujipanga kwa gemu zijazo ni kawaida kwa timu kubwa kushambuliwa haya ya Mayele yasiwatoee mchezoni kabisa.
Kwanini mnamtumia majini,tuanzie hapo.
 
Mayele kajiropokea tu, na vipi nyie tulioshuhudia live mkichoma majini yenu pale South Africa au ndio majini wazuri anaosema msemaji wenu.
Nje ya mada,hapa hoja majini mliyomtupia Mayele, wacheni roho mbaya.
 
Klabu ya mpira wa miguu kazi yake kubwa ni kutwaa Mataji ayo mambo mengine ni upepo wa kujaribu kuwa hamisha kwenye focus.
Mbumbumbu Fc wataongea watanyamaza, viongozi wa Yanga wao wajibu kwa mafanikio ya ndani ya uwanja na nje ya uwanja iyo ndio dawa ya wapiga domo.
Jini subiani 😂😂😂😂😂😂
 
Mkufunzi wangu wa shule flani alipata kunijuza maana ya Agent Provocateur kwa kifupi hawa ni watu wanaoweza kuwa nje au ndani ya mfumo na wanatumika kuzima hot issues flani ambazo sizo rafiki kwa wakati huo kwa lengo la kufanya watu kutoelewana.

Kwanini Mayele

Ukiangalia mwezi huu Yanga walikua na mambo mazuri mengi sana japokua hata mabaya nayo yalikuwepo, baadhi ya mambo mazuri kwa Yanga ni kama vile.

  • Miaka 89 ya siku yao ya kuzaliwa.
  • Ahadi ya Gsm Kujenga Yanga Arena
  • Kupata ushindi kwenye gemu zao za ndani na nje.
  • Kuingia mikataba minono na Agha Khan Hospital pamoja na Benki ya Nmb ile ishu yao ya kadi ya milioni 1.

Ukiangalia hayo yote ni mema kwa yanga kwani yanga wakitulia na kuweza kufanya hayo hakika watakua timu bora sana na haya yote yanafanywa chini ya Rais mwenye maono Eng Hersi Said.

I want to tell Yanga fans hakika mkimpoteza huyu mwamba mtarudi miaka 20 nyuma, Hersi Said anaipenda Yanga kama timu yake lakini tambueni either nje au ndani ya Yanga kuna watu hawamtaki huyu mwamba kwa misimamo yake dhabiti kwenye kuendesha timu ya Yanga kisasa.

Mayele anaweza kuwa Agent Provocateur anayetumika either na watu wa nje au ndani ya mfumo wa Yanga jiulize kwanini ashambulie viongozi ishu ni ndogo tu ukishambulia viongozi means na Rais wa Yanga yupo ndani mwake huyu jamaa ni hatari sana kwa afya ya Simba waulize kuhusu zile 5, pia kwenye mfumo wa mpira wetu jamaa ni tishio kwa kifupi wazee wa 10% hawampendi.

Mayele ameibuka kipindi Yanga ikiwa na matukio yake muhimu ya kitaifa na kimataifa kwanini hakuibuka wakati Afcon inaanza hivi kweli Mayele huyu huyu ni wa kumweka benchi Bongonda, Wisa au Cedric Bakambu jibu ni hapana.

Mayele alikuja kama mchezaji professional ila baada ya kujifunza uswahili wa Kitanzania akakosa busara na kuanza kuropoka hovyo.

Wanayanga mzidi kujipanga kwa gemu zijazo ni kawaida kwa timu kubwa kushambuliwa haya ya Mayele yasiwatoee mchezoni kabisa.
Mayele aliyataka mwenyewe. Hayo majini yalimsaidia akiwa hapa tz tumehangaika naye sana kumfanya awe vile. Baadaye anaanza kujiona yeye ni wa maana zaidi. Sasa tunamwonesha... Na bado hajasema.
 
Kauli zako zinaonyesha majini mnayo ingekuwa hayapo ungepotezea
 
Back
Top Bottom